Siku akirudishwa kwao kwenye jeneza utapiga vigelegele. Kama bado hujaolewa nakuombea upate janadume la hivyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwakweli mana mwenzie kasema anapigwa hadi analazwa what if akikoiga siku moja akafa?