Am I wrong if I process divorce?

Hapo no. 2
Ninakupa ruhusa kuvunja uhusiano huo
 
Haya maisha ukikaa kuongozwa na kushindwa walikoshindwa wenzio utasanda.
Kuna mtu huko anapasua miamba ili ahakikishe simponyoki, miiiiiimi Anaconda wake.

Ni kujichukulia tu anaconda lako na kujua unaishi nalo vipi.
Likikushinda ,liacheeeeee.
Yupo mwingine analimudu na linakuwa kama nyungunyungu.
 
Ni kujichukulia tu anaconda lako na kujua unaishi nalo vipi.
Likikushinda ,liacheeeeee.
Yupo mwingine analimudu na linakuwa kama nyungunyungu.
Of course best, hakuna mkamilifu chini ya jua.

Muhimu kuchukuliana, mkishindwana vyema kila mtu ashike 50 zake.

Maisha yenyewe mafupi πŸ₯‚
 
Pole sana mdau, cha kwanza kwa namna yoyote ile na sababu yoyote ile kupigwa hakuvumiliki. Wewe sio mtoto mdogo.

Ushauri wangu, ondoka ukaanze maisha yako upya. Usiogope nini watu watasema ila ni kwa ajili yako. Pili kama moja ya wachangiaji alivosema hapo juu, usikurupuke kuingia tena kwenye mahusiano, pata muda wa kutosha wa kuregain whatever ulichopoteza. Cha kwanza ondoka mambo ya divorce and everything will follow.
 
Nashukuru sana japo nilishathibitisha yeye kuzini nje..dharau iliongezeka na vipigo. Nipo tayari kwenye mchakato wa divorce na sihitaji ndoa tena maishani mwangu. Pole sana kwa changamoto the world is full of surprises,POLE
 
Sasa mimi na hiyo migahawa ya kizungu zungu ndo ushanikosa kabisa yani.
Unajua mapenzi ni upofu, kwahiyo utakapo sema sehemu yeyote nitakwenda.

Nina hamu ya kula dinner meza moja naweπŸ˜‹πŸ˜‹.

Afadhali siku moja moja nikumbuke Ujana miaka ile ya 58 tunakula meza moja na binti wa Gavana Richard Turnbull 😜😜
 
Yaaa mapenzi ni upofu kabisaaaa...

Usijali itafanyika namna tu G
 
Kwa ajili ya maandalizi ya mtoko, chagua kiatu na handbag kitakacho kupendeza. Kumbuka wazee tulishamaliza kusomesha πŸ‘ πŸ‘‘πŸ‘œπŸ‘›

CC
Asprin
Aisee we jamaa nakushukuru sana kunialika kwenye hili jambo la msingi kabisa kwenye hizi ishu za uchumi wa kati...

Ngoja nifuatilie mjadala kwa kina afu tuangalie namna ya kuanzisha chama...

Katiba mpya itafuata baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…