Am I wrong if I process divorce?

Am I wrong if I process divorce?

Hapana kuchizika kwa kweli naweza kukupenda kweli ila matendo mabovu yalikuwa kithiri nakupiga kibuti matata, Kuna mwanaume nilimpenda vibaya ila nilinyoosha mikono kabisa, Mimi sifugi donda lisilopona na nimejifunza kutumia akili kwenye mahusiano staki hisia bana ukiwa mwema na nesa na biti ukiwa hovyo na ku treat hvo hvo, Sasa wanawake wengi wanaumizwa na wanavumilia ili kuonyesha kuwa na ndoa loh, life is short why mtu mzima mwenzangu anitese wakati naweza kutafta vitoa nyege tu na life likaendelea [emoji23][emoji23][emoji23] halooo.
vitoa nyege unatafutaje? au kwa kudanga?
 
Una hakika gani atarudishwa kwao akiwa kwenye jeneza??
Wewe mtazamo wako ni huo,
Mimi mtazamo wangu ni Mungu atambadilisha.

Sijaolewa bado na Mungu atanipa wa kufanana naye,siyo huyo unayemtaka wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
naona unazeekea nyumbani...pole dada....kama bado, ukishafika 30s ndoa bye bye
 
Vitoa nyege vingi ni choice yako tu hamu ikiisha unaendelea na maisha in peace bila kufatiliana na maujinga mengine.
wengine tukiona demu anajilengesha sana tunamkwepa...wewe itabidi utumie nguvu kudanga kwa kujilengesha
 
Hello,
I have always been reading threads without commenting. Kwanini nimeanzisha hii thread?

I am a married lady..in my very early 30s( with over 11 years of marriage experience). I got married when I was in my early 20s. Graduated my masters in my very early 20s as well.

It has never been a peaceful marriage pamoja na jitihada nyingi nilizofanya mimi kuisimamia na kujinyenyekeza kwa kuweka elimu na appearance yangu pembeni. Kifupi tu ya ninayopitia;

1. Being heavily beaten mpaka kulazwa whenever he drinks( mind you, he is a regular drinker)
2. Hakuwahi kuja msiba wa baba yangu mzazi sababu kuu 'alikuwa na washkaji trip'
3. Sijui sh.yake japo anajenga..so i pay for house and family needs mpaka nilipojua ameandikisha hio nyumba jina la ndugu yake
4. Gari pia nilimpa hela akaninunulie yard hapa mjini karudi kaiweka jina lake. Sio kwamba hana hela..no he is financially stable.( sijui ananikomoa nini na sijawahi kutishia kuondoka wala nini-kwa wanaonijua nje wanaweza kuthibitisha hili)
5. Restrictions with my dress code. Anataka nishone vitenge mpaka miguuni. Ana wivu wa ajabu sana na mimi kupendeza au hata kusuka nywele hataki. Hataki nivae suruali,jeans and he found me wearing all those.He wants me rough NOW na anasema nataka kupendeza kwa ajili ya nani? Ananitumia mpaka threads sijui za wanawake 'wenye makalio makubwa hawana akili' nijitathmini na mimi(he picks everything from the internet). Hili halinisumbui sana because i know nina akili ya shule na maisha pia
6. Sex life is bad..very bad( nilishakamata mengi kwenye simu yake). And to be honest it is better this way..kwamba hatushiriki like normal married couples miezi minne sasa na wala hajali yani sawa tu kwake. Binafsi nitavumilia sababu afya yangu matters a lot
7. Sijawahi kumjibu chochote, ninaomba msamaha hata ninapokosewa, ninaandaa bedroom na scents nzuri, napika napeleka mtoto kwa dada yangu for sleep over ili tupate muda fulani ila ndio anarudi alfajiri na asubuhi ananiuliza nani kanifundisha mambo ya kihuni. Vikao vilishakaliwa mno..i know for a fact, he won't change.
8. I have shared my case kwa mtu mmoja tu,a man lately..ambae amekuwa so concerned na sijui tutaenda nae wapi as am beginning to fall in love na yeye(najua inabidi niwe muangalifu kwa wanaokuja kusikitika na mimi kumbe amenitamani tu kutokana na physical appearance and all that)

Sijaacha kuwa msafi..sijaacha kujipenda BUT i am dying deep down. NO LOVE NO SUPPORT hata ile kidogo na sijamuongelesha kwa mara ya kwanza toka anipige miezi 4 iliopita na kulazwa(sababu hapa ilikuwa sikuvaa nguo kama madira ambapo kazini siwezi kuvaa japo navaa kiheshima sana yet smart)na kisha kurudi nyumbani baada ya kusuluhishwa..hajui naishi vipi japo nina kazi yangu ni kama KAKA NA DADA.

Our wedding was a church wedding. NIMECHOKA. Sijui naanzia wapi kutoka but ninahitaji kutoka kwenye hiki kifungo

I believe atakuja kunifukuza kwenye nyumba alioiandika jina la ndugu yake. Maana hapa ni kama mpangaji na hela anayo mpaka ya kunywa ma hennessy kila weekend. I am a God fearing person deep down..sana! Sikuwahi kuwaza kwanini wengine wananunuaga viwanja pembeni..na nilikuwa mtu wa kwanza kupinga wanawake wa aina hii.

Ninasukumwa kuanza 'ku save kidogokidogo' na kupunguza kulisha familia ili nijipange na kibanda changu japo najiuliza mpaka nimefanikiwa kumaliza kujenga sio leo wala kesho i assume(kutokana na nachoki earn) na nitakuwa tortured kwa level ipi mpaka nimalize kujenga. Niko confused hasa

But I need advice..ninachanganyikiwa hata kazini performance inashuka.
Kindly advice
Umerogwa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wanawake walivyoshambulia huu uzi halafu utakuta na wao wale wale au ni masingo maza.....

Anyway...

Mshakaa kikao cha usuluhishi au ukashair story yako na mshenga au ndugu/mama shangazi n.k?

Au ndugu zake?

Au mshauri wa ndoa yenu?
Muwe mnasoma .....ameshajieleza yote hayo yamefanyika sana na imeshindikana
 
Hahahaaaa

Nimecheka kweli,yaani wee jamaa ni contradiction tosha

Umetukana hapo juu halafu mwisho ukatupia mstari wa biblia kana kwamba wewe ni mtu wa mungu sana yaani...

Heri sisi ambao hata hatuamini kama yupo,we know our place
Hahaha!. Mkuu unatakiwa ung'ate alafu upulize kama Panya 😂😂😂.

Huko chini kwa sababu ni mwokovu basi nikampa maneno ya Biblia kusaidiki kuwa uvumilivu na haki ufanye kwa kiasi kuhalalisha ninachomuambia.
 
Sijasoma yote lkn wewe mwenzetu umelogwa acha upumbavu. Unasubiri divorce ya nini? Ili iweje yaani? Huna maamuzi binafsi hadi jamii ikuamulie?

Unashindwa nini kumuacha uondoke then ushughulike na divorce baadae? Hata tukikushauri hapa hutatekeleza ushauri wetu utaendelea kugandana hapo.

We baki na msela wako, hilo ndo chaguo lako ndoa ni uvumilivu, vumilia dada..thawabu utaipata mbinguni. Ukiachika tutakucheka utakosa heshima kwenye jamii kifupi utadharaulika. Shikilia hapo hapo udundwe hadi akili ikukae sawa.
God fearing my foot.
Gardem Demi is that you?!😅
 
Kuna bwana mmoja hapa DSM anaitwa Mahela mke wake alimuwekea sumu kwenye chakula ila akadokezwa mapema. Cha ajabu eti kanisa linatakasa asamege na avumilie, aliwatukana akaondoka zake na nyumba akaikimbia. Yuko uhamishoni sijui mkoa gani.

Naona nawe msimamo wako ni kama ule, mbona sijaona mahala ambapo Bible inasema mtesane kwenye ndoa.
Haya makanisa hayana msaada wowote ndoa zikiwa na matatizo, Ni mtu kutumia akili...huwezi ishi na mtu ambaye una uhakika kabisa nia yake ni kukuua
 
Jamani...

Maisha mabaya yapo pote pote tu,ni afadhali ubaki kwenye ndoa upate shida za humo

Nje hakuna cha maana,utapeli ni mwingi mno,na huyo number 8 hapo atajitombea kupita maelezo ila kuoa mazima sahau...

Formula ni fupi tu,kamshindwa A,how on earth hatanishindwa B maana A=B tu!

Mwache apate shida humo humo ndani atajua jinsi ya kuji-adjust humo humo...pia huyo kaka hatujamsikiliza....wanawake si wa kuamini sana ujue!
Mkuu, shida nyingi zinavumilika...lakini shida ya kupigwa makonde binafsi naona haivumiliki. Atachezea kipondo na kuna siku atakata moto mazima!!!
 
Jamani...

Maisha mabaya yapo pote pote tu,ni afadhali ubaki kwenye ndoa upate shida za humo

Nje hakuna cha maana,utapeli ni mwingi mno,na huyo number 8 hapo atajitombea kupita maelezo ila kuoa mazima sahau...

Formula ni fupi tu,kamshindwa A,how on earth hatanishindwa B maana A=B tu!

Mwache apate shida humo humo ndani atajua jinsi ya kuji-adjust humo humo...pia huyo kaka hatujamsikiliza....wanawake si wa kuamini sana ujue!
point kubwa nimeshika hatujasikia upande wa pili

let me keep quite for now maana kusikiliza upande mmoja nayo ni tabu inayotukumba wengi.
 
Pole kwa yanayokusibu.It seems like you married the wrong person.

Ushauri wangu ni huu:
You are still young and its not late to start over. Ondoka asije kukuua kwa kipigo sio maradhi tu.Fikiria maslahi yako na ya mwanao.Huwezi kumbadilisha mtu ambae hataki kubadilika.

NB:Usikurupuke kuingia kwenye mahusiano mapya!
Ndoa za early 20’s huwa zinahitaji watu wakomavu sana aisee😅😅😅 mkikurupuana ndio yanakuja tokea haya!

Mwamba bila kuambiwa tu najua lazma ni mtoto wa kichaga, top of the list when it comes to careless guys ni hawa jamaa😀! Anaweza akaoa halafu akawa busy na malaya tu tena wanaoneaga mabinti waoga waoga na wapole wanawapiga matukio kichizi wao pombe,mpira na washkaji!
 
Kuna mtu alihack account yangu, ndo sasa hivi nimefanikiwa kuirudisha. Watu wabaya sana
Hata mie naona, but najua ulisema worst mistake is a man putting his hands on you!
 
Back
Top Bottom