Am I wrong if I process divorce?

Am I wrong if I process divorce?

Sijasoma yote lkn wewe mwenzetu umelogwa acha upumbavu. Unasubiri divorce ya nini? Ili iweje yaani? Huna maamuzi binafsi hadi jamii ikuamulie?

Unashindwa nini kumuacha uondoke then ushughulike na divorce baadae? Hata tukikushauri hapa hutatekeleza ushauri wetu utaendelea kugandana hapo.

We baki na msela wako, hilo ndo chaguo lako ndoa ni uvumilivu, vumilia dada..thawabu utaipata mbinguni. Ukiachika tutakucheka utakosa heshima kwenye jamii kifupi utadharaulika. Shikilia hapo hapo udundwe hadi akili ikukae sawa.
God fearing my foot.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nchi ngumu hii.
 
Pole Sana,
Ndoa zina shida na raha,,upendo wa kweli hudhihirika wakati wa shida na mateso.

Je,tukiwapenda watupendao twafanya ziada gani?
Wapendeni wote,waombeeni wanaowaudhi.

Zidi kuomba,usichoke..
Ipo siku atabadilika,,,kuwa mwaminifu na msihi Mungu ambadilishe.

Nb: Sikushauri uvunje ndoa yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kulazimisha ndoa mwshoe kupoteza uhai.
 
Pole Sana,
Ndoa zina shida na raha,,upendo wa kweli hudhihirika wakati wa shida na mateso.

Je,tukiwapenda watupendao twafanya ziada gani?
Wapendeni wote,waombeeni wanaowaudhi.

Zidi kuomba,usichoke..
Ipo siku atabadilika,,,kuwa mwaminifu na msihi Mungu ambadilishe.

Nb: Sikushauri uvunje ndoa yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeolewa kumbe tayari?
 
IT IS OKEY SWEETHEART.
VERY MUCH OKEY.

BUT.
HATAKUACHA KIRAHISI.
NA WALA SIO KWA KUWA ANAKUPENDA,
KWA KUWA ANASIKIA RAHA UNAVYOLIA.

Sa skia.
SIO LAZIMA UJENGE NDO UMUACHE MTU!
Havina hata mahusiano.
Unahitaji utashi ndani yako, ujasiri akilini mwako, msimamo usoni pako, na nguvu mwili mwako.

Mengine yote yanawezekana.
A church wedding, chini ya mti wedding, synagogue wedding and all the likes.
Sio sababu wala kichaka cha kuteseka.

Ndoa pasi Huruma
Ndoa pasi Upendo
Ndoa pasi Ubinadamu
Ndoa pasi Faraja
Ndoa pasi Hisia
Hauna ndoa kipenzi, na haipo tu.

Na kingine,
Na a church wedding ni mpk kifo kiwatenganishe.
Hesabu miaka uliyonayo, say 33
Iwapo utabarikiwa miaka 60 ya kuishi
Una miaka 27 ya kuput up na hiyo insanity.

Uko tayari?
If no, KATAA KWA KUMAANISHA!!
 
Sijasoma yote lkn wewe mwenzetu umelogwa acha upumbavu. Unasubiri divorce ya nini? Ili iweje yaani? Huna maamuzi binafsi hadi jamii ikuamulie?

Unashindwa nini kumuacha uondoke then ushughulike na divorce baadae? Hata tukikushauri hapa hutatekeleza ushauri wetu utaendelea kugandana hapo.

We baki na msela wako, hilo ndo chaguo lako ndoa ni uvumilivu, vumilia dada..thawabu utaipata mbinguni. Ukiachika tutakucheka utakosa heshima kwenye jamii kifupi utadharaulika. Shikilia hapo hapo udundwe hadi akili ikukae sawa.
God fearing my foot.
Aisee😀😀😀
 
Kulazimisha ndoa mwshoe kupoteza uhai.
Kiapo cha ndoa kimeandikwa" nitakuwa naye kwenye shida na raha, kwenye dhiki na mateso hadi kifo kitakapotenganisha".
Na alichokiunganisha Mungu , mwanadamu hawezi kukitenganisha.

Ndiyo maana huwa wanatusisitiza vijana kutokosea kuchagua mwenza,ni Bora ukosee kujenga nyumba,utaibomoa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ndugu yangu alikuwa anavumilia hayo tukaongeaaa wee kanyaaa wee waaapi basi bwana tar za mwishoni mwezi wa 12 mwaka 2015 tukapigiwa simu tukachukue maiti ya ndugu yetu, tukazika na maisha yanaendelea. Story yake ikaishia hapo japo tunamkumbuka sana. Ndoa siyo kifungo kama inavyohubiliwa makanisani, upendo ukiisha kila mtu ashike hamsini zake.
 
Siku akirudishwa kwao kwenye jeneza utapiga vigelegele. Kama bado hujaolewa nakuombea upate janadume la hivyo
Una hakika gani atarudishwa kwao akiwa kwenye jeneza??
Wewe mtazamo wako ni huo,
Mimi mtazamo wangu ni Mungu atambadilisha.

Sijaolewa bado na Mungu atanipa wa kufanana naye,siyo huyo unayemtaka wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Run. ..run run...
Divorce or no divorce just run and run..

Why miaka yote unevumilia?

Mlikutana wapi kwanza??

So sad...just run na asijue unaishi wapi..

Ofisin waambie wakimuona wajue mmeshaachana agiza walinzi wampe kipigo cha kutosha..
 
Back
Top Bottom