Am I wrong if I process divorce?

Am I wrong if I process divorce?

mimi ni mchaga pia pls omba msamaha mkuu,,,hahahahhahahaha,,,,ila kuna element ya ukweli hapa

ila kuwa raised na single parent is not an issue here,,,issue yeye kama yeye ana akilii gani
Inategemea mkuu, single parents akina baba wanakuwaga na balance ya upendo na kamwe hawezi haribu akili ya mtoto kumtia maneno ya hovyo kuhusu mama!

In very rare cases mtoto haathiriki na bitterness ya mzazi dhidi ya mwenzie
 
Ninaweza kukutajia weakness zangu
1. Very forgiving sababu sipendi kukaa na kinyongo nakosa amani kabisa
2. I love looking good na sipendi kumuomba hela sababu anasemaga hana kwangu siku zote so nikipata i treat myself good
3. Ninaamini sana katika familia kwa jinsi nilivyokuzwa but i got some sense today..kwa vibao vya maneno wengine walivyonipa. Nimeshtuka
Jf hata mimi ilishanisaidia sana,,both bad and good advices lazima zikuvushe,,, kuna ile hali ya aman ya moyo utakayoipata kupitia hizi msgs kwani utafunguka macho.

always stay focused.
 
yaaani na kweli naona tukipiga kelele tu ila tunakuwa tumeshamaliza kazi yetu.

ila bhana wanawake tuna mambo, ukikutana na mtu mpole unaanza kuzingua tunapenda hekaheka mingi tu
Kumbe hii ni kweli aisee.
Zamani hata mj nilikua namhandle vizuri sana manzi yangu mwisho wa siku anakuona ka zuzu sasa atajinunisha mala akujibu hovyo unajifanya kuplay low, daah kumbe yale ni makosa bna.

Bila kashkash wanawake huwa hawaridhiki, yani mpaka umpelekeshe kidgo ndo heshima inakuja. Sema tu sasa hapo wanaume ndo huwa tunatofautiana wengine ndo hadi wanadunda kabisa kabisaa kama bidada hapo. Ila ndo ivo pia haondoki.
 
Inategemea mkuu, single parents akina baba wanakuwaga na balance ya upendo na kamwe hawezi haribu akili ya mtoto kumtia maneno ya hovyo kuhusu mama!
yaaaani ninyamaze tu maana single parent sio nzr lakin ndio inazaliwa na mambo kama haya,.,,kama una akili utawakuza vizuri tu

natetea mimi jaman,,,kulelewa na single parent is not an issue
 
Mkuu

Wanawake ni waongo sana,ada hajalipa popote,nyumba hajajenga popote wala chakula hajalisha popote

Wanawake wanapenda ku-exxagrate sana their strenghts ili kumshusha huyo mwanaume

Siku mwanamke analeta nyama nyumba ndo inakakariwa yeye ndio analisha nyumba siku zote

Sipo hapa kumteta huyo jamaa au kufurahia tatizo la huyu dada,hapana,huenda ni kweli ila maelezo ya wanawake hua nachanganyaga na akili zangu mwenyewe sichukui kama msahafu
And it is alright to believe unachotaka kuamini. Pengine unajiongelea ilikutokea..kuwa na amani kabisa kuamini au kuto amini
 
yaaaani ninyamaze tu maana single parent sio nzr lakin ndio inazaliwa na mambo kama haya,.,,kama una akili utawakuza vizuri tu

natetea mimi jaman,,,kulelewa na single parent is not an issue
Tuliweke kwenye braces tu, in rare cases mambo hayaaribiki! Single parent ambao mzazi mmoja alifariki labda ila wale wa divorce au kutelekezana ni hatari
 
My dear sister, Nafahamu and for sure I can figure out exactly the situation you're in...

Naomba kukushauri yafuatayo;
Kwanza kwa maelezo yako huyo mume hajitambui, hana future na wewe na hawezi kukusaidia kufikia ndoto zako kama mwenza katika safari hii ya maisha ya duniani. Kama mlishakaa vikao na hakuna kinachoendelea nakushauri waweke wazi wazazi wako waelewe situation you're in na upate back up yao. Then file for divorce ili kuondokana na hiyo ndoa katika mazingira ya kisheria ili hata kesho na kesho kutwa ukitaka kuwa na mtu isije kukuletea matatizo wewe na huyo mwenza wako mpya.

Pili epuka kuanzisha mahusiano kipindi hiki ukiwa kwenye frastrations kwani ni rahisi kuangukia kwenye mikono isiyo salama kwa kwa sasa ni rahisi kufanya mamuzi kwa hisia zaidi kuliko proper reasoning na critical thinking...
Hugs..blessing dear
 
Tuliweke kwenye braces tu, in rare cases mambo hayaaribiki! Single parent ambao mzazi mmoja alifariki labda ila wale wa divorce au kutelekezana ni hatari
naliiacha kwenye mabano for now
point noted.
 
I am not sure na cha kushauri,

Maana uko educated lakini elimu haikusaidii,

Tunaposema tuwawezeshe wanawake ili wajiweze, tunamaanisha kuepukana na vtu kama hivi. Unajiweza why going through the shit anymore. au una Stockholm syndrome?!
Lol..thank you though. Kwa kweli hata mimi kwa hili sijielewi..nafikiria kwenda kufanya PhD nisahau haya for good. Naamini time heals
 
It all started in my first year of marriage. Hakuwa na hela by then but things were much more peaceful kuliko muda ulivyozidi kwenda
Ohooo mtu akiwa na hela ndo unamuona rangi zake.Pesa inabadilisha watu.Akiwa hana hela atakuwa malaika.Kuna mdada nae alifungua uzi kwa mbwembwe anaolewa na jamaa hana hela hata ya kujikimu anyway nawaombea kheri hao wanandoa....ila kwa upande wako ulitakiwa muwekane sawa pale alipoanza kuingiza kipato mgawane majukumu. Mwenzako anaona kapona kapata wa kumpunguzia zigo la maisha,hela zake ye anazichakachua zako ndo zitumike.Naanza kuona sasa kama umemuendekeza in someway hukuwa na msimamo tangia awali.
 
Wewe ni wife material, wewe ni mwanamke kati ya wanawake wachache waliopo duniani, ila shida umekutana na zombiwisee.. Hana hadhi wala haki ya kufanyiwa uliyomfanyia.. Shika njia yako uende mamii, afya yako muhimu mnoo.. Kwake huna thamani kuna watu wanakuthamini na kukuhitaji kinoma noma(wazazi, ndugu jamaa na marafiki, mtoto wako)..

Wapo wanaume wachache wanaojielewa, ika kuwapa ni NTITI(Kujisemea wamakonde)

Sijui kwanini ni mtihani kumatch mwanamke saafi na mwanaume swaaafi.. [emoji848]


Mmoja akiwa malaika mwingine lazima awe makata kama sio subiani kabisa.

Wachache mnoo ndio wanabahatika.
Thank you..inachanganya inaumiza inatesa
 
Ninaweza kukutajia weakness zangu
1. Very forgiving sababu sipendi kukaa na kinyongo nakosa amani kabisa
2. I love looking good na sipendi kumuomba hela sababu anasemaga hana kwangu siku zote so nikipata i treat myself good
3. Ninaamini sana katika familia kwa jinsi nilivyokuzwa but i got some sense today..kwa vibao vya maneno wengine walivyonipa. Nimeshtuka
Hizi weakness hazimfanyi mwanaume kuwa mjinga, zinamfanya azidi kumpenda na kum-love mkewe.

Taja zile ambazo ni toxic katika maisha ya ndoa! Usiseme huna coz hakuna ambaye hana, ni kuvumiliana tu!!
 
WOW! Why are you still in this the so called marriage? Run faster and RUN NOW. Move out ASAP before he kills you. You are very well educated but too slow to make decisions for your own welfare as well as those of your kids. This is not marriage.

Hello,
I have always been reading threads without commenting. Kwanini nimeanzisha hii thread?

I am a married lady..in my very early 30s( with over 11 years of marriage experience). I got married when I was in my early 20s. Graduated my masters in my very early 20s as well.

It has never been a peaceful marriage pamoja na jitihada nyingi nilizofanya mimi kuisimamia na kujinyenyekeza kwa kuweka elimu na appearance yangu pembeni. Kifupi tu ya ninayopitia;

1. Being heavily beaten mpaka kulazwa whenever he drinks( mind you, he is a regular drinker)

2. Hakuwahi kuja msiba wa baba yangu mzazi sababu kuu 'alikuwa na washkaji trip'

3. Sijui sh.yake japo anajenga..so i pay for house and family needs mpaka nilipojua ameandikisha hio nyumba jina la ndugu yake

4. Gari pia nilimpa hela akaninunulie yard hapa mjini karudi kaiweka jina lake. Sio kwamba hana hela..no he is financially stable.( sijui ananikomoa nini na sijawahi kutishia kuondoka wala nini-kwa wanaonijua nje wanaweza kuthibitisha hili)

5. Restrictions with my dress code. Anataka nishone vitenge mpaka miguuni. Ana wivu wa ajabu sana na mimi kupendeza au hata kusuka nywele hataki. Hataki nivae suruali,jeans and he found me wearing all those.He wants me rough NOW na anasema nataka kupendeza kwa ajili ya nani? Ananitumia mpaka threads sijui za wanawake 'wenye makalio makubwa hawana akili' nijitathmini na mimi(he picks everything from the internet). Hili halinisumbui sana because i know nina akili ya shule na maisha pia

6. Sex life is bad..very bad( nilishakamata mengi kwenye simu yake). And to be honest it is better this way..kwamba hatushiriki like normal married couples miezi minne sasa na wala hajali yani sawa tu kwake. Binafsi nitavumilia sababu afya yangu matters a lot

7. Sijawahi kumjibu chochote, ninaomba msamaha hata ninapokosewa, ninaandaa bedroom na scents nzuri, napika napeleka mtoto kwa dada yangu for sleep over ili tupate muda fulani ila ndio anarudi alfajiri na asubuhi ananiuliza nani kanifundisha mambo ya kihuni. Vikao vilishakaliwa mno..i know for a fact, he won't change.

8. I have shared my case kwa mtu mmoja tu,a man lately..ambae amekuwa so concerned na sijui tutaenda nae wapi as am beginning to fall in love na yeye(najua inabidi niwe muangalifu kwa wanaokuja kusikitika na mimi kumbe amenitamani tu kutokana na physical appearance and all that)

Sijaacha kuwa msafi..sijaacha kujipenda BUT i am dying deep down. NO LOVE NO SUPPORT hata ile kidogo na sijamuongelesha kwa mara ya kwanza toka anipige miezi 4 iliopita na kulazwa(sababu hapa ilikuwa sikuvaa nguo kama madira ambapo kazini siwezi kuvaa japo navaa kiheshima sana yet smart)na kisha kurudi nyumbani baada ya kusuluhishwa..hajui naishi vipi japo nina kazi yangu ni kama KAKA NA DADA.

Our wedding was a church wedding. NIMECHOKA. Sijui naanzia wapi kutoka but ninahitaji kutoka kwenye hiki kifungo

I believe atakuja kunifukuza kwenye nyumba alioiandika jina la ndugu yake. Maana hapa ni kama mpangaji na hela anayo mpaka ya kunywa ma hennessy kila weekend. I am a God fearing person deep down..sana! Sikuwahi kuwaza kwanini wengine wananunuaga viwanja pembeni..na nilikuwa mtu wa kwanza kupinga wanawake wa aina hii.

Ninasukumwa kuanza 'ku save kidogokidogo' na kupunguza kulisha familia ili nijipange na kibanda changu japo najiuliza mpaka nimefanikiwa kumaliza kujenga sio leo wala kesho i assume(kutokana na nachoki earn) na nitakuwa tortured kwa level ipi mpaka nimalize kujenga. Niko confused hasa

But I need advice..ninachanganyikiwa hata kazini performance inashuka.
Kindly advice
 
Back
Top Bottom