Am I wrong if I process divorce?

Am I wrong if I process divorce?

Hata kwenye bibilia inasema mtu akitoka nje ya ndoa,akizini,talaka inahusika!

Unataka huyu mdada auwawe for the sake og marriage.My love ndoa ya duniani tu kila mtu anakufa kivyake/anahukumiwa kivyake na hakuna ndoa baada ya kifo.

Sometimes enough is enough.
Yaaan bora hata mseme nyie.
 
Kiapo kimeandikwa na wanadamu na sio Mungu...

Then, huo mstari wa alichounganisha Mungu naona huwa unatumika vibaya kutaka kuaminisha wanandoa kuwa wavumiliane...

Sikiliza binti najua wewe ni mtu wa dini /imani ya Kristo kindakindaki, Mungu alipomuumba mtu mume na mtu mke aliwabariki na alimfanya mke kuwa msaidizi wa mume ambaye ni kichwa cha ndoa...

Mungu hakumpa Adam mwanamke ili huyo Adam afanye kama haya tunayosimuliwa huyu mwanaume anafanya...
Ameeeeen.
 
Dah ni noma aisee mkuu, mie ndugu yangu ningemfata aisee nisingemuacha apigwege kiboya kwa sababu ambazo hazina msingi
Mjomba hawa ndugu zetu wakipenda huwa hawaelewi, alirudishwa home zaidi ya mara moja baada ya kutolewa wodini akipona kabisa anamkumbuka mwana huyo anatoroka anawaachia kimemo mezani msimtafute kaenda kwake mpaka yalipokuja kutokea hayo.
 
Aisee...wewe ni mtabiriiiiiiiii????😳😳😳😳😳 unajuaje yote haya?
Its psychology 101 kwa mtu ambae anafahamu psychology that is a straight case.
Sasa ungekuwa "komando" ungemfanya awe mdogo kama piritoni na yeye ndo awe anakupigia magoti kila siku. Sema ndo hivyo tena mtu mwenyewe Bikira Maria.
 
Huyo mwanaume ana matatizo ya nguvu za kiume. Ana inferiority complex juu ya hilo, na anajaribu kuonyesha uanaume wake kwa kumpiga mkewe. Pia, si unaona anavyohangaika kuhusu uonekano wa mkewe? Yaani anakua na wasiwasi kwa sababu yeye nguvu zake za kiume ni za kisoda, mkewe akipendeza sana wanaume wenye maguvu yao ya kiume watamparamia huko nje na kumpiga ukuni hadi mkewe amsahau. that is why kila siku anahangaika kuhakikisha mkewe hapendezi.
Huyu mdada angeweza kusema mambo zaidi hapa, nakuhakikishia angesema kuwa mumewe ni mzee wa dakika moja kama jogoo, na akipiga hako ka dakika 1, jogoo kuwika tena ni hadi kesho. Ukifuatilia zaidi hata kwa hao michepuko wa huko nje habari ni hiyo hiyo, unaweza kuta hata hawagongi, bali huwa anawalipa tu waendelee kumfichia siri.
Wanaume malaya huwa wanagonga ndani (kwa wake zao), na wanagonga nje, hawaachi wala kuchagua mbususu.
Mwanaume malaya anamuangalia mkewe anaelala nae kitanda kimoja miezi minne bila kuchakata mbususu? Are you fucki.ng kidding me???
Niamini mimi.
mbalizi1
Kwahio mjuba itakuwa Tambo limefeli!?
Hili nalo linafikirisha sana yani😅😅😅
 
Mjomba hawa ndugu zetu wakipenda huwa hawaelewi, alirudishwa home zaidi ya mara moja baada ya kutolewa wodini akipona kabisa anamkumbuka mwana huyo anatoroka anawaachia kimemo mezani msimtafute kaenda kwake mpaka yalipokuja kutokea hayo.
Dah kmmmk jamaa atakuwa alikuwa anamuweza by 100%
 
Kwa hayo uliyoandika please find divorce na uangalie maisha yako. Some men Ni watoto wa mama na hawatakaa wakue all life long.
back to Mr comforter.... kuwa naye makini maana unapokuwa desperate ni rahisi kufall kwa yeyote mwenye nafuu kuliko ulipo now.
Good luck
Unaweza shauri divorce kumbe mwenzio kaandika tu kupunguza hasira Ila hana hata wazo la kutengana na mumewe....ushauri wa kuachana kama mtu anakatazwa kula ugali dagaa kirahisi ivo ni mgumu mnoooo
 
Kwahio mjuba itakuwa Tambo limefeli!?
Hili nalo linafikirisha sana yani😅😅😅
Bro, niamini mimi.
Yaani story ya hivi ni kati ya vitu vichache ninavyoweza kukuhakikishia kwa asilimia 80 kwamba jamaa ana shida kwenye kupiga pipe. Labda tu huyu mtoa mada awe ameongezea chumv za kwake mwenyewe.
Its sex psychology 101.
MWANAUME MALAYA ANATOMBA NDANI NA NJE....!! Mark that!!!
 
Huyo mwanaume ana matatizo ya nguvu za kiume. Ana inferiority complex juu ya hilo, na anajaribu kuonyesha uanaume wake kwa kumpiga mkewe. Pia, si unaona anavyohangaika kuhusu uonekano wa mkewe? Yaani anakua na wasiwasi kwa sababu yeye nguvu zake za kiume ni za kisoda, mkewe akipendeza sana wanaume wenye maguvu yao ya kiume watamparamia huko nje na kumpiga ukuni hadi mkewe amsahau. that is why kila siku anahangaika kuhakikisha mkewe hapendezi.
Huyu mdada angeweza kusema mambo zaidi hapa, nakuhakikishia angesema kuwa mumewe ni mzee wa dakika moja kama jogoo, na akipiga hako ka dakika 1, jogoo kuwika tena ni hadi kesho. Ukifuatilia zaidi hata kwa hao michepuko wa huko nje habari ni hiyo hiyo, unaweza kuta hata hawagongi, bali huwa anawalipa tu waendelee kumfichia siri.
Wanaume malaya huwa wanagonga ndani (kwa wake zao), na wanagonga nje, hawaachi wala kuchagua mbususu.
Mwanaume malaya anamuangalia mkewe anaelala nae kitanda kimoja miezi minne bila kuchakata mbususu? Are you fucki.ng kidding me???
Niamini mimi.
mbalizi1
This makes alot of sense now! Sababu visirani vya namna hii sio kawaida ila ni upungufu wa nyege mapumbuni 😅😅😅
 
Bro, niamini mimi.
Yaani story ya hivi ni kati ya vitu vichache ninavyoweza kukuhakikishia kwa asilimia 80 kwamba jamaa ana shida kwenye kupiga pipe. Labda tu huyu mtoa mada awe ameongezea chumv za kwake mwenyewe.
Its sex psychology 101.
MWANAUME MALAYA ANATOMBA NDANI NA NJE....!! Mark that!!!
Word!
 
Kwanza mimi bila kumt0mb@ kisawasawa lazima ataniuliza tu baba una tatizo mpenzi wangu? [emoji1] Raha ya kwanza ya kuwa na mke umtandike mboRlo hadi akuamkie shkamoo baba. Miezi minne unamkaushia tu mtoto wa watu sio fair kbs!
Jamaa Tambo bovu aisee! Sasa kaamua am bully mtoto wa watu kisa mtoto ni kisu duh😅!!! Umeoa mke kisu halafu tambo limezingua dah kmmke walai!

Ila yale makitu si yanatibika, mke atakuwa kamuonea aibu kumchana ila jamaa nae kaona njia ni kumkwepa tu!
 
Waswahili wanasema kofi la mpenzi haliumi. Lakini kitendo cha kulazwa hilo sio kofi tena bali ni kipigo cha mbwa koko.
Jamani wanawake mpaka lini tutavumilia mateso. Wanawake wangapi wanauwawa na waume zao wewe huogopi?. Yani uko na kazi kwanini unaogopa maisha je usingekua nayo. Kutoka kwenye hiyo ndoa haimaanishi wewe sio mwanamke bora. Hata wakikusema wewe ndio unajua ukweli achana na jamii itanionaje. Kuliko kusubiria ugeuzwe mkaa au upigwe nondo ya kichwa ni bora ukajiondokea.
Lina aliimba bora nikimbie. Ebu kimbia shoga angu.
 
Kiapo cha ndoa kimeandikwa" nitakuwa naye kwenye shida na raha, kwenye dhiki na mateso hadi kifo kitakapotenganisha".
Na alichokiunganisha Mungu , mwanadamu hawezi kukitenganisha.

Ndiyo maana huwa wanatusisitiza vijana kutokosea kuchagua mwenza,ni Bora ukosee kujenga nyumba,utaibomoa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Je ni vyote vimeunganishwa na Mungu?.
 
Back
Top Bottom