Am I wrong if I process divorce?

Am I wrong if I process divorce?

Dada Rosiela pole sana, unayopitia sio mepesi. Mungu akuwezeshe kuvuka salama.

Umegusia kwamba ndoa yenu ilikuwa ya kanisani, je? Umewahi kuwashirikisha walezi wenu wa kiroho pamoja na wale walio wasimamia ndoa yenu.

Kabla ya kufanya maamuzi yoyote makubwa tafadhali fuata ushauri hapo juu na kama tayari umewashirikisha waltzing wenu wa kiroho nini ilikuwa hatima yake?
Nilishafanya jitihada zote huko. I have decided already to live not to die
 
Usisahau kutoa taarifa serikali ya mtaa na dawati la jinsia huyo kwa ushahidi zaidi huyo baba mtoto asijekusumbua
 
Humbly received. Sending the mega love back to you.

Haki nimemiss enzi zenu na Da Sophy, sijui yuko wapi mama Hainaga Degree[emoji38][emoji38][emoji38]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka kwa sauti.
Da sophy alikuwa anatunyoooshaaa.
Na sisi na ubishi sasa ndo tunaziiiid kumlandiaha mavi ya kifua.

Dah.
Ile enzi jamani.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
 
I can't reset my mind dear I need someone aliyenizudi kila kitu Hadi dhambi kiasi nikiwa naye anakuwa Hana jipya ambalo hajafanya. Ka wine tu ya mda mrefu ndo huwa nzuri

Sawa mkuu,,, na iwe hvyo..

Asante.
 
Hahaaa Yani hapo ndo utafanya kila wema lakini huo wema anaona kosa tu
Yaan if a man doesnt want you jamani hata ufanyeje. He will always find a way to create chaos. Its what i learnt. Wananichangamsha hawa watu[emoji23][emoji23][emoji2222] yaan nikikumbukaga nilivyokuaga mpole jaman pooh mbakaa.. nimechangamkaaa balaa.
 
Hello,
I have always been reading threads without commenting. Kwanini nimeanzisha hii thread?

I am a married lady..in my very early 30s( with over 11 years of marriage experience). I got married when I was in my early 20s. Graduated my masters in my very early 20s as well.

It has never been a peaceful marriage pamoja na jitihada nyingi nilizofanya mimi kuisimamia na kujinyenyekeza kwa kuweka elimu na appearance yangu pembeni. Kifupi tu ya ninayopitia;

1. Being heavily beaten mpaka kulazwa whenever he drinks( mind you, he is a regular drinker)

2. Hakuwahi kuja msiba wa baba yangu mzazi sababu kuu 'alikuwa na washkaji trip'

3. Sijui sh.yake japo anajenga..so i pay for house and family needs mpaka nilipojua ameandikisha hio nyumba jina la ndugu yake

4. Gari pia nilimpa hela akaninunulie yard hapa mjini karudi kaiweka jina lake. Sio kwamba hana hela..no he is financially stable.( sijui ananikomoa nini na sijawahi kutishia kuondoka wala nini-kwa wanaonijua nje wanaweza kuthibitisha hili)

5. Restrictions with my dress code. Anataka nishone vitenge mpaka miguuni. Ana wivu wa ajabu sana na mimi kupendeza au hata kusuka nywele hataki. Hataki nivae suruali,jeans and he found me wearing all those.He wants me rough NOW na anasema nataka kupendeza kwa ajili ya nani? Ananitumia mpaka threads sijui za wanawake 'wenye makalio makubwa hawana akili' nijitathmini na mimi(he picks everything from the internet). Hili halinisumbui sana because i know nina akili ya shule na maisha pia

6. Sex life is bad..very bad( nilishakamata mengi kwenye simu yake). And to be honest it is better this way..kwamba hatushiriki like normal married couples miezi minne sasa na wala hajali yani sawa tu kwake. Binafsi nitavumilia sababu afya yangu matters a lot

7. Sijawahi kumjibu chochote, ninaomba msamaha hata ninapokosewa, ninaandaa bedroom na scents nzuri, napika napeleka mtoto kwa dada yangu for sleep over ili tupate muda fulani ila ndio anarudi alfajiri na asubuhi ananiuliza nani kanifundisha mambo ya kihuni. Vikao vilishakaliwa mno..i know for a fact, he won't change.

8. I have shared my case kwa mtu mmoja tu,a man lately..ambae amekuwa so concerned na sijui tutaenda nae wapi as am beginning to fall in love na yeye(najua inabidi niwe muangalifu kwa wanaokuja kusikitika na mimi kumbe amenitamani tu kutokana na physical appearance and all that)

Sijaacha kuwa msafi..sijaacha kujipenda BUT i am dying deep down. NO LOVE NO SUPPORT hata ile kidogo na sijamuongelesha kwa mara ya kwanza toka anipige miezi 4 iliopita na kulazwa(sababu hapa ilikuwa sikuvaa nguo kama madira ambapo kazini siwezi kuvaa japo navaa kiheshima sana yet smart)na kisha kurudi nyumbani baada ya kusuluhishwa..hajui naishi vipi japo nina kazi yangu ni kama KAKA NA DADA.

Our wedding was a church wedding. NIMECHOKA. Sijui naanzia wapi kutoka but ninahitaji kutoka kwenye hiki kifungo

I believe atakuja kunifukuza kwenye nyumba alioiandika jina la ndugu yake. Maana hapa ni kama mpangaji na hela anayo mpaka ya kunywa ma hennessy kila weekend. I am a God fearing person deep down..sana! Sikuwahi kuwaza kwanini wengine wananunuaga viwanja pembeni..na nilikuwa mtu wa kwanza kupinga wanawake wa aina hii.

Ninasukumwa kuanza 'ku save kidogokidogo' na kupunguza kulisha familia ili nijipange na kibanda changu japo najiuliza mpaka nimefanikiwa kumaliza kujenga sio leo wala kesho i assume(kutokana na nachoki earn) na nitakuwa tortured kwa level ipi mpaka nimalize kujenga. Niko confused hasa

But I need advice..ninachanganyikiwa hata kazini performance inashuka.
Kindly advice
Unaonekana kua na hekima saana ku compare na wife (tupo kwa divorce process).
Yeye alitafuta mwanaume was kumweleza changamoto za ndoa yake akaishia kuliwa na kukosa ndoa yake.
Pole saana make sure unagundua Kama ana zini nje ndio uamue ku divorce japo si Jambo jema ila kabla ya hapo OMBA saana maana utakapoamua ku divorce anaweza kukuDhuru.

Hakika penye miti hapana wajenzi.
 
Yaan if a man doesnt want you jamani hata ufanyeje. He will always find a way to create chaos. Its what i learnt. Wananichangamsha hawa watu[emoji23][emoji23][emoji2222] yaan nikikumbukaga nilivyokuaga mpole jaman pooh mbakaa.. nimechangamkaaa balaa.
Dah hawa wanaume acha tu Yani Tena ukiwa mtulivu na mstaarabu napo shida, hata ufanye Jambo jema kwake anaona tu ubaya, wengine hata salaam anaanzisha ugomvi, kupitia mahusiano tofauti nimejifunza hapa duniani kuwa na kiasi jipende na jipe furaha usitegemee kutoka kwa mtu, na inabidi kuishi na mwanaume na beat lake akiwa kind, be kind akiwa mhuni nawe act kihuni, akiwa ana jali na kuhandle with care na wewe mfanyie hivo hivo tu.
 
Dah hawa wanaume acha tu Yani Tena ukiwa mtulivu na mstaarabu napo shida, hata ufanye Jambo jema kwake anaona tu ubaya, wengine hata salaam anaanzisha ugomvi, kupitia mahusiano tofauti nimejifunza hapa duniani kuwa na kiasi jipende na jipe furaha usitegemee kutoka kwa mtu, na inabidi kuishi na mwanaume na beat lake akiwa kind, be kind akiwa mhuni nawe act kihuni, akiwa ana jali na kuhandle with care na wewe mfanyie hivo hivo tu.
Yaani. Tatizo sasa huwezi kufake uhusika ambao si wako. Akiwa mhuni nawezaje sasa. Sidhani kama wanakomoleka. Uts just to walk on ur lane. Mabaya yake muachie mwenyewe. Kuna siku atakiri tu hata kwa nafsi yake. Mtu kutwaaa kukupa ubaya tuu aisee. Ila fresh maisha ni murua as long as tunapumua bado[emoji23]
 
Yaani. Tatizo sasa huwezi kufake uhusika ambao si wako. Akiwa mhuni nawezaje sasa. Sidhani kama wanakomoleka. Uts just to walk on ur lane. Mabaya yake muachie mwenyewe. Kuna siku atakiri tu hata kwa nafsi yake. Mtu kutwaaa kukupa ubaya tuu aisee. Ila fresh maisha ni murua as long as tunapumua bado[emoji23]
Yatupasa kuelewa kuwa no one is perfect na tumekulia tofauti so kuwa pamoja haimaanishi nianze kuku control kama mtoto as long as someone is responsible taking care of the family and our relationship, it's okay kuchukulia huo u positive mengine yakibinadamu yanavumilika tu kama anakunywa labda pombe na hafanyi fujo na responsible why uanze kumforce aache awe ka wewe hunywi, au kumktaza kukutana na marafiki zake wa long time kisa mumeona huwa haiko fair bana. Tu judge partners wetu kwenye Mambo positive na sio Mambo ya kupangiana had nguo Mara misuko bana huwa inabore kichizi
 
Yatupasa kuelewa kuwa no one is perfect na tumekulia tofauti so kuwa pamoja haimaanishi nianze kuku control kama mtoto as long as someone is responsible taking care of the family and our relationship, it's okay kuchukulia huo u positive mengine yakibinadamu yanavumilika tu kama anakunywa labda pombe na hafanyi fujo na responsible why uanze kumforce aache awe ka wewe hunywi, au kumktaza kukutana na marafiki zake wa long time kisa mumeona huwa haiko fair bana. Tu judge partners wetu kwenye Mambo positive na sio Mambo ya kupangiana had nguo Mara misuko bana huwa inabore kichizi
Hapa naona tuko pamoja. And uts been always this way. Kwanza that man who doesnt drink is a boring husband[emoji23] sitak partner asiyekunywa. Na sipend kumcontrol mtu na routines zake na maisha niliyomkuta nayo as long as hazina madhara kwake na sisi. Aplay part yake and thats all. Ila asisahau kunidekezaaaaaa[emoji41]
 
Hapa naona tuko pamoja. And uts been always this way. Kwanza that man who doesnt drink is a boring husband[emoji23] sitak partner asiyekunywa. Na sipend kumcontrol mtu na routines zake na maisha niliyomkuta nayo as long as hazina madhara kwake na sisi. Aplay part yake and thats all. Ila asisahau kunidekezaaaaaa[emoji41]
Kikubwa ni kuheshimu boundaries ya kila mmoja na kuacha kujifanya una play part ya mama kwa mumeo, na wewe mume uache kujifanya baba kwa mkeo kwa kutaka kumu control mtu mzima mwenzako. Mengine ni kutimiza wajibu basi
 
Kikubwa ni kuheshimu boundaries ya kila mmoja na kuacha kujifanya una play part ya mama kwa mumeo, na wewe mume uache kujifanya baba kwa mkeo kwa kutaka kumu control mtu mzima mwenzako. Mengine ni kutimiza wajibu basi
Ewaaaa.... tuache kuwa wazazi kwa partners wetu. Maisha yanakua mepesi sana
 
Yaan if a man doesnt want you jamani hata ufanyeje. He will always find a way to create chaos. Its what i learnt. Wananichangamsha hawa watu[emoji23][emoji23][emoji2222] yaan nikikumbukaga nilivyokuaga mpole jaman pooh mbakaa.. nimechangamkaaa balaa.
pooh mbakaaa chaloi hahahahahahh, hawa viumbe wanaweza kukubadilisha hadi ukajishangaa mwenyewe
 
Tulieni...kofi moja kwa mwaka sio mbaya

Sometimes mnakuaga hamnyooki....mwamba lazima afanze mambo kidogo

Eti "ptuuu mbaka,sia"....."Sia tupu mae"....you people are Chaggas at heart!
the real chaggas, na nilitaka niseme wewe Wyatt ni mchaga maana wachaga kwa mapenzi ni sifuri kabisa

leka tupu lukusie siii kifa ngikundi erera se fo mmbe.

hahahahhaha
 
Unaonekana kua na hekima saana ku compare na wife (tupo kwa divorce process).
Yeye alitafuta mwanaume was kumweleza changamoto za ndoa yake akaishia kuliwa na kukosa ndoa yake.
Pole saana make sure unagundua Kama ana zini nje ndio uamue ku divorce japo si Jambo jema ila kabla ya hapo OMBA saana maana utakapoamua ku divorce anaweza kukuDhuru.

Hakika penye miti hapana wajenzi.
Weee bana weeee , we all have closets.
Msijifanye hapa nyie ndo miti mmekosa wajenzi.
I hate it when people play innocence.
Hamna mtu kanyooooka, and while mwenzi anafanya wehu we ulikaa tu kama nukta.
Sio kweli.
We are all sinners, it's just we sin differently.

Kila mmoja has a role to play kufanya ndoa iwe imara na iwe hovyo.

Ikifika pa separation, muachane tu.
Sio kesi jamani.
Huhitaji kuwa saint ili ndoa yako iwe imara.
Haya mambo huwa tu yanatokea.
 
Back
Top Bottom