Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,075
Konnie sa ingine unakuwaga na akili nyingi sana,kula five kwa post yako hii,Ruta umemjibu vyema kabisa.Ruta bana, si kila wakati wa kula unanawa, sometimes unanawa baada ya kula, got that!
Bora wewe hujasema ni pepo, maana siku hizi mtu asipokuwa na jibu anajificha kwenye mgongo wa pepo.
Hapo pekundu, ohh yeah, penzi lenyewe tu ni ugonjwa tosha, achia mbali complications zinazoletwa na penzi.
Ruta, ulishamsikiliza vizuri Avril? Chukua kipande hiki
It's a damn cold night
Trying to figure out this life
Won't you take me by the hand
Take me somewhere new
I don't know who you are
But I... I'm with you
I'm with you