asante mkuu kwa kunielewa
Je kuna uwezekano wa kufunga inbox ? Anayejua anielekeze
nilishajitoa huko labda unishawishi kuingia tenaFb watumia jina gan
Pole sana wavumilie kwa muda. Watafute moderator wakusaidie kuifunga hiyo inbox.Kuna watu si wasitaarabu
We ni mkumbo kitila au profesa kabudi? Au mzee Lwaitama? Maana hao ndo najua wanajadiliNjoo Inbox tuyajenge mrembo
NB: Nipo kwenye jopo la majadiliano ya makinikia, upande wa Tz
Wapenda Siasa mpooo.Najaribu kuwaza tu "wale wasiojulikana wana mbinu nyingi sana,usije kuta huu ulimbo ni kwa ajili ya kunaswa Daby au yule Mshana na theory zake Ujasusi"
Karibu mrembo,nyumbani bukoba wananiita Mutashobya
Anamaanisha waweza kua mtu wa Usalama wewe! watu wajisahau waanzishe urafiki na wewe huko PM baadaye mkutane face to face kama marafiki. huku libazazi likiwa limejisahau kwamba kule kwenye Jukwaa la Siasa linafunguka bila woga likijua halifahamiki
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Dah! Upendo wa dhat kabisa, karibu Anna Mariakaribu sana .naomba niwe dada yako wa hiari
Go to your account,pale kwenye contacts privacy kama sijakosea kuna kitu kinaitwa "start conservation with...",hapo hapo weka watu unaofollow tu.Je kuna uwezekano wa kufunga inbox ? Anayejua anielekeze
Mtu anamuibiaje sasaKaribu sana mgeni, Kuna thread humu ilikuja, mtu aliibiwa na tapeli alijitambulisha kama Anna Buberwa huko facebook jina lako limenikumbusha hili tukio.
Wakola ningemba abantu batwekile emeseji kama 30
Sisy kumbe tuna ugeni..Ebu muelekeze pmkwa kweli uu mrembo karibu mrembo...... anamaria mmoja namfahamu sema yeye ni black beuty
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mshana utamtisha Mdogo wangu na Tunguli zakoAcha ubaguzi mbona hukuniaka namimi[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Alimtumia pesa.Mtu anamuibiaje sasa
So mkuu unashauri tuiache hii almasi ipoteeMkuu nina jamaa zangu huko kwenye ,mambo ya ujasusi kule Congo ya Kabanga wamenipa hizi taarifa