Umekutana na breakfast ya aina gani leo?osterbay hawana tabia hizo bna
Siwezi kukupa kwa kweli ile funguo maana nitakupoteza.Haijapatikana jiran ndio mana
Macho kodo!Nimefika kipenzi acha ila moyo unasita. [emoji6]
Angalia zamu ya kudondosha chozi ikawa yako safari hii.Sasa kama umetuwekea hizo details zote kwanini usiweke kabisa na namba yako tu ya Simu ili Mimi Mwanamume wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) nimalizane nawe ' Mtani ' wangu Kibaiolojia? Na hiyo picha hapo katika Avatar yako ni Wewe au umeazima picha ya Mrembo mwingine labda kwakuwa Wewe una ' Nyago / Sura ' baya?
Bora moyo usite hivyo hovyo,ila kisu umekiona??[emoji6][emoji6]Nimefika kipenzi acha ila moyo unasita. [emoji6]
Mimi hata siitaki,kaa nayo tu[emoji6]Siwezi kukupa kwa kweli ile funguo maana nitakupoteza.
Hi Maria, my name is Rutashobya Lubanzibwa Mukashubilwa, aged 28 years old, am from bukoba too and am also living around Doubletree by Hilton Dar es Salaam Oysterbay, kwa kweli we should catch up for further conversation na soon nitakupm my phone number nayoitumia kwenye iPhone 8 PlusHallo friends my name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old,
Am from bukoba, though now am living in Dar es salaam Oysterbay,
Thanks
Mchina mweusi,karibisha mgeni basiMacho kodo!
Karibu!! Sana wakola waituHallo friends my name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old,
Am from bukoba, though now am living in Dar es salaam Oysterbay,
Thanks
Sawa jiraniunitonye ikipatikana..
Upo mremboWe dada unaujasiri,jina hadi picha daah!
Karibu jf,kumbuka huku ni kama mtaani tu
Kichwa Kichafu beibe njoo ukaribishe mgeni aitwa Anna Maria Buberwa[emoji4][emoji4]
Nipo dada habari ya weweUpo mrembo
ha haWote tungekuwa tunakarimiwa hivi, hata hizo ban zingekuwa ndoto.
SafiNipo dada habari ya wewe