Am introducing myself - Anna Maria Buberwa

Thread ya kwanza haitoi picha kamili ila tuliyoyahisi ngoja tuyahifadhi for future use.
 
Hallo friends my name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old,
Am from bukoba, though now am living in Dar es salaam Oysterbay,

Thanks
Watu wana maneno mengi humu, acha niende kwenye point. JF nilikuwa namfukuzia Rubii, nikasikia ananicheat na Swissme. Nikampotezea. Since you are here, acha nikuwahi kabla wakina Daby na Swissme hawajavamia tena.

Malailota, obayo Anna Maria?

Waitu kasinge welcome to Jf ni nzuri muno. Ndi wa Muhutwe, right now nafanya kazi Ikulu. Omukyalo banyeta 'Ghosti'. Waitu kasinge mwana wa mawe.

Nnyenkya nagenda kumbona Raisi Magufuli, right now nagenda omukikao. Ntabagambila omu fidifosi yona, olimala IFM nikutwala, akatambala kela ni kwenda bojo. Lazima okajwale. Nina edegree mushanju. Bagamba muhaya nyetusa, ole nshonga nshomile[emoji19] .

Onshaga talimwana, ninsome ya mbele, Anna Marie Buberwa, kalibatano. Omwana nakwenda.Nabona Land Cruiser yange yaija. Obashule bamunju bainu. Namatumaini you will be my Jf partner.

-callmeGhost
 
Karibu Anna ktk maisha mapya.Uzuri wa jf kama una stress bc zitatoka na kama una furaha bc utalia,humu kuna binaadam wenye akili kuna vichaa vya mbwa na kuna watu wakarimu sana.yote hayo yavumilia kwa kuwa ndo Maisha yenyewe
 
Buberwa kama jina lako halisis abandone this. Humu kunafaa anonymity!
Karibu wa nyumbani na jirani.
hata mimi mara ya kwanza niliingia na jina langu, nikagundua humu hutakiwi kufahamika kabisa maana utaumizwa.
 
Aisee nawatahadharisha kwa mara nyingine msiende kichwa kukutana na huyu mtu physically kama unajua unachangiaga kuuponda mamlaka, mtakuja kunikumbuka mitego inawekwa vzr kuwakamata wabwatukaji na wanaotukana
mkuu upo sahihi kabisa.
 
Aisee nawatahadharisha kwa mara nyingine msiende kichwa kukutana na huyu mtu physically kama unajua unachangiaga kuuponda mamlaka, mtakuja kunikumbuka mitego inawekwa vzr kuwakamata wabwatukaji na wanaotukana
Very strange, uzi wa karibu page 19! Uko sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…