Karibu mnoo jamanii, Shunie Hajambo mwaya, nilikuhamu ujueNipo nitakuwa napita mtaani kwenu kule kuja wasalimu
Shunie mzima lakin
Baina omugisha wa wapi. Gera ,mugana au wapi?M naitwa bainaomugisha
mi ndo muhasibu wa JF fanya tuwasiliane mapema. ni elf 50000 tu. risiti ya EFD unapata.Ina lipiwa wapi na how much ?
Samahani mkuuUzi wa mgeni huu mshauanzishia zogo
wapi huko?miss bado upo
[emoji120]Mimi pia,msalimuKaribu mnoo jamanii, Shunie Hajambo mwaya, nilikuhamu ujue
Itoe tu mama nimeshai'sevu'Owk kwahiyo niitoe?
Tulia hivyo hivyo mkuu, nipo nae nachat kwa njia ya vdeo yaani namaanisha tuna chat kwa njia ya Skype, nipo zangu huku LAAnna mbona hujibu PM zangu??
Watu wana maneno mengi humu, acha niende kwenye point. JF nilikuwa namfukuzia Rubii, nikasikia ananicheat na Swissme. Nikampotezea. Since you are here, acha nikuwahi kabla wakina Daby na Swissme hawajavamia tena.Hallo friends my name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old,
Am from bukoba, though now am living in Dar es salaam Oysterbay,
Thanks
Nitakufata PM Mjomba utusaidie mawili matatu plz[emoji15] [emoji23] [emoji3] [emoji144]
View attachment 601070View attachment 601072
Mtoto wa Karagwe huyu atakuwa na mixer ya kinyarwanda kidogo.
So cute,Karibu Jf
hata mimi mara ya kwanza niliingia na jina langu, nikagundua humu hutakiwi kufahamika kabisa maana utaumizwa.Buberwa kama jina lako halisis abandone this. Humu kunafaa anonymity!
Karibu wa nyumbani na jirani.
mkuu upo sahihi kabisa.Aisee nawatahadharisha kwa mara nyingine msiende kichwa kukutana na huyu mtu physically kama unajua unachangiaga kuuponda mamlaka, mtakuja kunikumbuka mitego inawekwa vzr kuwakamata wabwatukaji na wanaotukana
Very strange, uzi wa karibu page 19! Uko sahihi kabisaAisee nawatahadharisha kwa mara nyingine msiende kichwa kukutana na huyu mtu physically kama unajua unachangiaga kuuponda mamlaka, mtakuja kunikumbuka mitego inawekwa vzr kuwakamata wabwatukaji na wanaotukana
mkuu upo sahihi kabisa.