Ooooh kumbe! Basi sawa.
Swahiba nipe maelekezo tafazali...Mods wameufungulia huu uzi eehh
Babu hujamboo, umeadimika sana konyagi hamna kuna mirinda nyeusi hapaSwahiba nipe maelekezo tafazali...
Konyagi haijawahi kuniacha salama...
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Akikua ataachaNshafika ila buberwa katisheeer full introduction
Hio bangi ya wapi?
Nlivokushauri uache haya mambo hukunielewa.... unaona sasa???Siku hizi mateso tupu kukujibu kwa picha ngumu aah haka ka kimeo sijui kwann kamekorofisha na kutibua albamu yangu,tungekesha leo babu kijana si waona hilo pipa kwa avatar hapo
Akikua ataacha
Hii inaitwa Indian Hemp kutoka India
Siku hizi mateso tupu kukujibu kwa picha ngumu aah haka ka kimeo sijui kwann kamekorofisha na kutibua albamu yangu,tungekesha leo babu kijana si waona hilo pipa kwa avatar hapo
Aisee[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Nlivokushauri uache haya mambo hukunielewa.... unaona sasa???
Aisee[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Eti ni kweli Numbi..?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hii ni ya Tarime bhana...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Babu shusha alibamu yako yote hapa niikopi
Nlivokushauri uache haya mambo hukunielewa.... unaona sasa???