Am introducing myself - Anna Maria Buberwa

Am introducing myself - Anna Maria Buberwa

Babu hujamboo, umeadimika sana konyagi hamna kuna mirinda nyeusi hapa
Lord have mercy on me.... Mirinda tena>??

hebu niitie Numbisa kwanza...

upload_2017-10-5_22-46-15.jpeg
 
Siku hizi mateso tupu kukujibu kwa picha ngumu aah haka ka kimeo sijui kwann kamekorofisha na kutibua albamu yangu,tungekesha leo babu kijana si waona hilo pipa kwa avatar hapo
Nlivokushauri uache haya mambo hukunielewa.... unaona sasa???
malia1.jpg
 
Siku hizi mateso tupu kukujibu kwa picha ngumu aah haka ka kimeo sijui kwann kamekorofisha na kutibua albamu yangu,tungekesha leo babu kijana si waona hilo pipa kwa avatar hapo

Hahahahahhaaaaaaa.... Looooo... Pole swahiba....
403420.jpg
 
Back
Top Bottom