Am introducing myself - Anna Maria Buberwa

usiweke picha tena watakusumbua hawa mabazazi ...

msinichambe jamani namkunga mdogo wangu kabla hamjamvuruga
Anna usisikilize maneno ya hawa vibibi wakongwe wa humu.

Wameshakua ajuza ndo maana wanaogopa kuweka picha zao.

Wanaonea wivu urembo wako na wanaona uta take over uwazidi.

Weka picha yako halisi usi fake life kwa kuweka avatar za wanawake wengine..


Anyway, kila siku za kazi napita hapo oystabei kwenda macho pale nafanya kazi hapo. Naweza kukupitia siku moja jioni tupate dinner kidogo Anna Maria Buberwa?
 
Karibu sana, nipo nasubiri ruhusa ya uongozi wa wana Jf ili niweze kukufanyia orientation katika majukwaa yote ya humu ndani, kwa kutumia golf cart, maana mengine yapo mbali sana.
 
Kwenye zile PM ulizoandika kulikuwa na yangu moja, naomba iweke hapa ile mistari niitumie kwingine, maana wameifuta kabla sijacopy.

Nilishasahau mistari yangu ile ya ushindi.
Teh Teh Teh ndugu yangu umepata pa kuitumia tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…