digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
SijakuelewaNajaribu kuwaza tu "wale wasiojulikana wana mbinu nyingi sana,usije kuta huu ulimbo ni kwa ajili ya kunaswa Daby au yule Mshana na theory zake Ujasusi"
Karibu mrembo,nyumbani bukoba wananiita Mutashobya
Miss chaga,kwani kuna ubayausiweke picha tena watakusumbua hawa mabazazi ...
msinichambe jamani namkunga mdogo wangu kabla hamjamvuruga
angalia comments zinazoanza kutoka!OK thanks
Baya ni kumvuruga akaja na siredi za huzuniMiss chaga,kwani kuna ubaya
Ndiyo wapo wengiuna kaka alie single?
Nami niwe kaka wa hiariAsante dada
[emoji28] [emoji28] [emoji28] hyo pia inawezekana mkuu,urimbo ukawakamata watuNajaribu kuwaza tu "wale wasiojulikana wana mbinu nyingi sana,usije kuta huu ulimbo ni kwa ajili ya kunaswa Daby au yule Mshana na theory zake Ujasusi"
Karibu mrembo,nyumbani bukoba wananiita Mutashobya
Anamaanisha waweza kua mtu wa Usalama wewe! watu wajisahau waanzishe urafiki na wewe huko PM baadaye mkutane face to face kama marafiki. huku libazazi likiwa limejisahau kwamba kule kwenye Jukwaa la Siasa linafunguka bila woga likijua halifahamikiSijakuelewa
ok basi nitakuja kuwatembelea. una boyfriend?Ndiyo wapo wengi
Are u trying to say jf imejaa wahuni tupu? Yani no good guys??Baya ni kumvuruga akaja na siredi za huzuni
Kwani amesema hataki usumbufu dada?usiweke picha tena watakusumbua hawa mabazazi ...
msinichambe jamani namkunga mdogo wangu kabla hamjamvuruga
Bukoba sijui ila mhaya anaringa huyo na kingene hana makalio kama wahaya wengine ni flat hata me nimemzidi kwa kalioNaye ni wa bukoba?
Swali zuri miss nafindok basi nitakuja kuwatembelea. una boyfriend?
mkuu sijasema hivyo jamani wazuri wapo wengi kuliko wabayaAre u trying to say jf imejaa wahuni tupu? Yani no good guys??
jamani nimeomba nisichambwe jamani ..... nilidhani hakujua kwamba huku watu ni mafeki id wengiKwani amesema hataki usumbufu dada?
Je wajua sababu ya kujitambulisha?
usiitoe badirisha nyingine hayo manungayembe yanakuonea wivuOwk kwahiyo niitoe?