Am introducing myself - Anna Maria Buberwa

nilifanya naye kazi ila nilikuwa sijui kama ametokea bukoba kuja dar yule anaonekana kazaliwa dar sababu hana makalio
Ukizaliwa Dar makalio yanapotea? Mh, hapo Nadhani makalio yanakuwa genetically determined , siyo location/place of birth ingawa kuna environmental modification on gene expression! Umeniacha hoi! Je wenzangu wachaga si ndio kuzidi au wasemaje
 
Ukizaliwa Dar makalio yanapotea? Mh, hapo Nadhani makalio yanakuwa genetically determined , siyo location/place of birth ingawa kuna environmental modification on gene expression! Umeniacha hoi! Je wenzangu wachaga si ndio kuzidi au wasemaje
imagine mimi nimemzidi kalio
 
I come to bukoba haha
Ilikuwa hatari nakwambia,tulikuwa shule nyakati hizo,we watu wa Bukoba walikoma kwa kutaniwa.I come to Bukoba,,,,ikaja wakati fulani jamaa anaoa kuna binti mmoja alkampelekea kadi zile za pongezi zipelekwazo wakati wa zawadi,dah, mchaga mmoja naye akaandika" from to me"swali nikajiuliza,wahaya na wachaga wana undugu?
 
Natamani baada ya miezi mitatu nijue kilichokutokea baada ya kujiweka mtupu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…