Am introducing myself - Anna Maria Buberwa

Mbinu mpya ya kuwapata waropokaji wa JF na watumia ID fake imeandaliwa kwa umakini mkubwa, yaani kwasasa hakuna sababu ya kumganda ndg Mello aseme BAK ni nani au Cocochannel ni nani maana watu wasiojulikana tena mabinti wakali wameandaliwa wa kutosha kuja kuwakamatisha humu. Siku mnakutana cjui Mango Garden ndiyo siku watu wasiojulikana watakujua wewe unayejifanya hujulikani. Kamuulizeni DC mnyeti alichofanyiwa na watu wasiojulikana waliotumwa na ndg Aanayejulikana kama dogo janja.
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Acha uoga mkuu
 
dah! hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…