Am introducing myself - Anna Maria Buberwa

[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Acha uoga mkuu

Mkuu nina jamaa zangu huko kwenye ,mambo ya ujasusi kule Congo ya Kabanga wamenipa hizi taarifa
 
Hallo friends my name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old,
Am from bukoba, though now am living in Dar es salaam Oysterbay,
Fb account is Anna Marie Buberwa,
Thanks

Wewe ' Mtani ' umerogwa hadi umeanza ' kuwashwawashwa ' hivi? Ni kwanini Wiki hii wana Kagera mmeinza kwa matukio ya namna hii? Sasa mbona hujatuwekea kabisa na namba yako ya Simu ili tukutafute vizuri tumalizane kabisa Kibaiolojia?
 
usiweke picha tena watakusumbua hawa mabazazi ...

msinichambe jamani namkunga mdogo wangu kabla hamjamvuruga

Umeshachelewa! Hadi sasa hivi waungwana watakua wameshafanya vitu vyao.

Hata hivyo nakupongeza sana kwa hekima na upendo wa dhati kwa huyu mgeni. Anachotakiwa kufanya ni kutofautisha FB na JF.
 
We Anna marie wewe, unaona thread inavyoenda kasi? Bora tukutane fb huku hakufai
 
Wewe ' Mtani ' umerogwa hadi umeanza ' kuwashwawashwa ' hivi? Ni kwanini Wiki hii wana Kagera mmeinza kwa matukio ya namna hii? Sasa mbona hujatuwekea kabisa na namba yako ya Simu ili tukutafute vizuri tumalizane kabisa Kibaiolojia?
Namba ya simu hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…