tejateja
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 1,620
- 971
Unakilinda kwa kuja huku?nipo baby najaribu kulinda kitumbua changu huku ,, umekuja kufanya nini hapa bwana?
Naona huyu mdada Kaja kukianika kweupeeee tena Kitumbua cha kibaya......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakilinda kwa kuja huku?nipo baby najaribu kulinda kitumbua changu huku ,, umekuja kufanya nini hapa bwana?
lengo lilikuwa zuri kulinda mababy wetu ha haha..Tutafanya hivyo, ila leo umenikumbusha enzi zile chuo, First Year wakija utakuta mademu wa Second Year wanaenda kusambaza sumu eti wanaume wengi wa Second Year ni wahuni, wana ngoma nk.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Acha uoga mkuu
manasemaga hivyo kumbe umempendaUnakilinda kwa kuja huku?
Naona huyu mdada Kaja kukianika kweupeeee tena Kitumbua cha kibaya......
Wakola ningemba abantu batwekile emeseji kama 30Nozoka oly akanana,akanana akanana kaile konaaaaaa!!!!!
Kufngaau kuingia?
Kuna watu si wasitaarabuVipi wameshaanza kunyapianyapia? Mbona haraka sana unataka kufunga inbox?!!
Hallo friends my name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old,
Am from bukoba, though now am living in Dar es salaam Oysterbay,
Fb account is Anna Marie Buberwa,
Thanks
Okufunga inye tinkumanya,lkn siyo kesi,usizijibu piga kimya.Wakola ningemba abantu batwekile emeseji kama 30
Asante sanaUzi umepostiwa dk 37 zilizopita, nakuta una pages 14 kulingana na setting za kimeo changu.
Karibu sana Anna
SawaOkufunga inye tinkumanya,lkn siyo kesi,usizijibu piga kimya.
Hahahaaaa!!me nadhani nimekuzidi kidogo nipate mume humu tabaa zangu za pesa nikakimbia ha hahaha
usiweke picha tena watakusumbua hawa mabazazi ...
msinichambe jamani namkunga mdogo wangu kabla hamjamvuruga
Namba ya simu hahahahaWewe ' Mtani ' umerogwa hadi umeanza ' kuwashwawashwa ' hivi? Ni kwanini Wiki hii wana Kagera mmeinza kwa matukio ya namna hii? Sasa mbona hujatuwekea kabisa na namba yako ya Simu ili tukutafute vizuri tumalizane kabisa Kibaiolojia?
Lakini pia kulikuwa na kaukweli bwana.lengo lilikuwa zuri kulinda mababy wetu ha haha..
Usiitoe hakuna shidaOwk kwahiyo niitoe?
karibu sana anna maria .... hiyo picha ni wewe?
Hahaaaa... Na mimi leo nmekupasha aisee.. Hadi raha...si kwa mshushu haya najuta