Am Looking For A Man To Have A Child With

Am Looking For A Man To Have A Child With

Sipati picha inbox yako ilivyojaa muda huu.
Miye naweka mambo yangu hadharani wala sitaki mambo ya inbox nitakupa bure kabisa
Mbunye imeanikwa hadharani unategemea nini hapo!
 
Qualifications:
Tall
Handsome (smart man)
Asiwe mwebamba sana wala mnene sana
Age from 28 to 45
Asiwe na kitambi[emoji20]
Anaweza kuwa mume wa mtu au la
Sihitaji ndoa (stress tupu)
Mtoto akizaliwa ana uhuru wa kuhama kumtunza au kumpotezea (sishindwi kulea mwenyewe)
Mzungu au muhindi atafikiriwa zaidi
For more pm

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni pm fasta
 
sasa kama unahitaji mzungu au mhindi huku jf ndo wapo...?????

I BLNG 2 JESUS CHRST
Mbona tupo Wahindi? Acha kusemea watu....

BTW vingezo ages ndiyo sina kwenye masharti angeshusha umri... Ila sipo tayari kuzaa na mwafrica...
 
We ntafutie handsome tu smart ndo kigezo changu..ukimpata nshtue
Awe handsome kama mie? 😀😀😀 Nitumie sasa picha yako inbox niweze kumuonesha. Ninao potential candidates wengi tu... Ila sasa nitawezaje kuuza mali bila kuwa na sample dalali mie?
 
Si useme tu unataka mzungu? Stress bwana
 
Nenda play store search taifa lolote ulitakalo mfano " Uk dating site" install na humo ndio utapata hitaji la moyo wako...
sasa jamii forum hao wazungu na wahindi utawapatia wapi sis.... lol

au rahisi zaidi anza kuzungukia hoteli za kitalii jilengeshe kwa mzungu mwambie azma yako kwa upande wa wahindi usipate shida k,koo wamejazana kibaooooo tena wanapenda ngono vibaya mno wewe jilengesha tu.
good luck.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Back
Top Bottom