Am Looking For A Man To Have A Child With

Utasubir sana mko wengiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hata kama ngekuwa muhindi au mzungu...kwa ajili ya usalama Wa mtoto Wangu ...nisingekubali mtoto Wangu awe na IQ ndogo na ya kipuuzi ya kufikiri kama mama yake

Subiri wahindi na wazungu wenye akili kama yako wanakuja

germve himself
 
Single parenting is more stressful than married mother. Tena a single parented child ni tatizo utalojutia msisha yako yote.

Vv
 
Yaani hata kama ngekuwa muhindi au mzungu...kwa ajili ya usalama Wa mtoto Wangu ...nisingekubali mtoto Wangu awe na IQ ndogo na ya kipuuzi ya kufikiri kama mama yake

Subiri wahindi na wazungu wenye akili kama yako wanakuja

germve himself
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Kwanzia avatar yako mpaka ulichoandika unaonyesha ni mangapi unapitia/umepitia!! Pole sana binti!!
 

malipo bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…