Mbona me namjua Ivuga peke yake we wasemea yupi mwingine?Rafiki ina maana saint vulga hatoshi au huku ndo kutafuta michepuko?[emoji4][emoji4][emoji4]
Utasubir sana mko wengiiiQualifications:
Tall
Handsome (smart man)
Asiwe mwebamba sana wala mnene sana
Age from 28 to 45
Asiwe na kitambi[emoji20]
Anaweza kuwa mume wa mtu au la
Sihitaji ndoa (stress tupu)
Mtoto akizaliwa ana uhuru wa kuhama kumtunza au kumpotezea (sishindwi kulea mwenyewe)
Mzungu au muhindi atafikiriwa zaidi
For more pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka Kubadilisha mbeguKila la kheri bibie. ...uheshimu uafrika na weusi wetu. Kwani wewe ni mzungu au mhindi?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji32][emoji32][emoji32]Haipo kuna flat screen
Kwani mbegu zetu za kibantu zina kasoro? Au ni utashi wako tu? Kila la kheri.Nataka Kubadilisha mbegu
Nataka ya kichotara zaidiKwani mbegu zetu za kibantu zina kasoro? Au ni utashi wako tu? Kila la kheri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Single parenting is more stressful than married mother. Tena a single parented child ni tatizo utalojutia msisha yako yote.Qualifications:
Tall
Handsome (smart man)
Asiwe mwebamba sana wala mnene sana
Age from 28 to 45
Asiwe na kitambi[emoji20]
Sihitaji ndoa (stress tupu)[emoji57]
Mtoto akizaliwa ana uhuru wa kuamua kumtunza au kumpotezea (sishindwi kulea mwenyewe)
Mzungu au muhindi atafikiriwa zaidi
For more info pm
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Yaani hata kama ngekuwa muhindi au mzungu...kwa ajili ya usalama Wa mtoto Wangu ...nisingekubali mtoto Wangu awe na IQ ndogo na ya kipuuzi ya kufikiri kama mama yake
Subiri wahindi na wazungu wenye akili kama yako wanakuja
germve himself
Kwanzia avatar yako mpaka ulichoandika unaonyesha ni mangapi unapitia/umepitia!! Pole sana binti!!Qualifications:
Tall
Handsome (smart man)
Asiwe mwebamba sana wala mnene sana
Age from 28 to 45
Asiwe na kitambi[emoji20]
Sihitaji ndoa (stress tupu)[emoji57]
Mtoto akizaliwa ana uhuru wa kuamua kumtunza au kumpotezea (sishindwi kulea mwenyewe)
Mzungu au muhindi atafikiriwa zaidi
For more info pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Qualifications:
Tall
Handsome (smart man)
Asiwe mwebamba sana wala mnene sana
Age from 28 to 45
Asiwe na kitambi[emoji20]
Sihitaji ndoa (stress tupu)[emoji57]
Mtoto akizaliwa ana uhuru wa kuamua kumtunza au kumpotezea (sishindwi kulea mwenyewe)
Mzungu au muhindi atafikiriwa zaidi
For more info pm
Sent using Jamii Forums mobile app