Am looking Real man to be my fiancee...later awe Mume wangu. But am She-Male (serious)

Am looking Real man to be my fiancee...later awe Mume wangu. But am She-Male (serious)

pole mwaya kumbe ulikuwa lupango usjali ndo kuzoea jamvi huko. haya leo umekuja na mpya but naweza kukwambia one of the sex can be killed if you like but the dominating one has to remain. wawea kukuta iyo ya kiume ndo inadominate kuliko ya kike ingawa labda by looking unaona umedevelope features nyingi za kike. so before going any further go and see wataalam kisha watakupa what to do. kama huogopi sindano ya moto njoo hosp kwangu.
 
pole mwaya kumbe ulikuwa lupango usjali ndo kuzoea jamvi huko. haya leo umekuja na mpya but naweza kukwambia one of the sex can be killed if you like but the dominating one has to remain. wawea kukuta iyo ya kiume ndo inadominate kuliko ya kike ingawa labda by looking unaona umedevelope features nyingi za kike. so before going any further go and see wataalam kisha watakupa what to do. kama huogopi sindano ya moto njoo hosp kwangu.

Kwanza kabla ya yote,sorry for what i doing past.
Pia napenda kuipokea pole yako.
Ila nawe nisamehe kwa yote.
Ni kweli naweza jiona nimeumbika kikike but domination ikawa ipo kwa kiume.
Na ukweli ni kwamba ya kiume iko more power than ya kike.
Waweza kuta ati napata hisia kwa kumtamani may be wa kike mwenzangu.
Nitakutafuta
Lady.
 
Kwanza kabla ya yote,sorry for what i doing past.
Pia napenda kuipokea pole yako.
Ila nawe nisamehe kwa yote.
Ni kweli naweza jiona nimeumbika kikike but domination ikawa ipo kwa kiume.
Na ukweli ni kwamba ya kiume iko more power than ya kike.
Waweza kuta ati napata hisia kwa kumtamani may be wa kike mwenzangu.
Nitakutafuta
Lady.

huu ndio uanaJF uliotukuka.....good.....
like yako inakuja....coz umenigusa....
 
Kwanza kabla ya yote,sorry for what i doing past.
Pia napenda kuipokea pole yako.
Ila nawe nisamehe kwa yote.
Ni kweli naweza jiona nimeumbika kikike but domination ikawa ipo kwa kiume.
Na ukweli ni kwamba ya kiume iko more power than ya kike.
Waweza kuta ati napata hisia kwa kumtamani may be wa kike mwenzangu.
Nitakutafuta
Lady.

siye tuliozoea jamvi hayo ni ya kawaida sana. back to your topic kama unajua ile ya kiume iko dominant zaid why are you bothered na ya kike? kill the ladyish one bakiza ya kiume ambayo itakufaa.
 
Hongera kwa kufunguka!
Ila hilo ni tatizo lenye ufumbuzi.
Me naona kama ya kike ndio dominant ndio maana unatafuta mwanaume au? Kama ni hivi ni swala la kuua hiyo ya kiume!
Habari zenu.
Natafuta mwanaume ambae endapo atakubaliana na hali yangu kimaumbile aweze kuwa Mchumba wangu na baadae awe Mume wangu.
Mimi ni mwanamke kamili isipokuwa ni She-Male yaani nina kiungo cha kiume pia.
Jamani sitaki utani,kejeli,kashfa matusi wala dharau.
Sichagui dini,kabila,rangi,umbo wala kipato(japo wenye kujiajiri/kuajiriwa watapewa kipaumbele),
Awe na umri kuanzia 29-32,
umri wangu ni 28,Mkristo na ninaishi Magomeni,DSM.
Alie tayari tuwasiliane zaidi.
Mungu awabariki.
 
Nisikilize kwa Makini DAJANE... Kwa siye ambao tumesoma Female reproductin system na Genetics.... Na wewe tayari umeshasema Inayodominate ni ya Kiume. Kwa hakika hauna Uwezo wa Kuzaa au Kutengeneza Yai yaani Ovum na unauwezo wa kutengeneza Sperms mana umesema unaKORODANI Kabisa.. Ni bora ya kike ingekuwa na Nguvu na huna korodani tungesema ni Clitoris enlargement ambapo solution ipo....Kwahiyo hata kama unatafuta Mwanaume hautakuwa na furaha yoyote ile.

Ni bora ukabaki hivyo hivyo mana kwa Afrika ni Vigumu sana tena sana kuwa na Mme ambaye atavumilia hayo......
 
Nisikilize kwa Makini DAJANE... Kwa siye ambao tumesoma Female reproductin system na Genetics.... Na wewe tayari umeshasema Inayodominate ni ya Kiume. Kwa hakika hauna Uwezo wa Kuzaa au Kutengeneza Yai yaani Ovum na unauwezo wa kutengeneza Sperms mana umesema unaKORODANI Kabisa.. Ni bora ya kike ingekuwa na Nguvu na huna korodani tungesema ni Clitoris enlargement ambapo solution ipo....Kwahiyo hata kama unatafuta Mwanaume hautakuwa na furaha yoyote ile.

Ni bora ukabaki hivyo hivyo mana kwa Afrika ni Vigumu sana tena sana kuwa na Mme ambaye atavumilia hayo......

mkuu tatizo lipo kwake yeye anapopata hamu anaweza kumbaka mumewe duu bcs yakiume ndo ipo active!
 
DaJane, nina kaswali sasa kama dominating ni ya kiume, sasa unamtakia nini mwanaume maana utakuwa huumtendei haki au ukubali open relationship.
 
Last edited by a moderator:
DaJane, nina kaswali sasa kama dominating ni ya kiume, sasa unamtakia nini mwanaume maana utakuwa huumtendei haki au ukubali open relationship.

Nilitaka kuuliza swali kama hili..naomba atakapokujibu basi na mimi anijibu cuz kama iliyodominate ni ya kiume kwa nini anatafuta mume??
 
hivi huwezi kuwa unajiwowa mwenyewe??

Utakuwa unamcheat sana mmeo/mkeo na hicho kidude lol
 
Bakiza zote,
Tafuta mwanaume ambae ni Sh0G@.
Kunako majambo ukijiskia nawe unamgeuzia kibao.
Seriously this will work dada yangu.
 
Reffering to a previous story...hv kwanini ulimwacha Mchizi(Robert) atumie Dildo wakati kumbe umejaaliwa ile original yenyewe tena more powerful
 
Mmh! Siwezi ni makubwa haya.ningekuwa nimesoma reproduction na genetics ningejua nikushaur vp,lakini nimesoma history,so ngoja nipite kwnza labda niulizie,nitarudi
 
Back
Top Bottom