Am new here,i need warm welcome

Am new here,i need warm welcome

Ha haa! Wam welcome hapa? Hapa ni vijembe kwenda mbele, ukimtibua mtu, anakuchefuaaaaa, ukijamba, wanakunyaa, tena wanahara kabisaaaa. 😀😀😀
Cha muhimu kuwa mstaarabu, usijifanye mjuaji... Kama una shida genuine be sure kwamba hapa ni mahala sahihi pa kupata msaada. If you play by the rule, you will be safe, but if you misbehave you will know what JF members are made of...
So far, karibu jukwani...
 
Ha haa! Wam welcome hapa? Hapa ni vijembe kwenda mbele, ukimtibua mtu, anakuchefuaaaaa, ukijamba, wanakunyaa, tena wanahara kabisaaaa.
Cha muhimu kuwa mstaarabu, usijifanye mjuaji... Kama una shida genuine be sure kwamba hapa ni mahala sahihi pa kupata msaada. If you play by the rule, you will be safe, but if you misbehave you will know what JF members are made of...
So far, karibu jukwani...
Don't intimidate her/him
 
Welcome baby if it is true that ur 18 as i read from your profile. Hapa kuwa mpole mdogo wangu wewe penda sana kusoma watu wanasema nini utajifunza zaidi, usipende kuandika andika unarudia unayojua ila ukisoma vya wenzio unaweza ukapata mawili matatu mapya ya kujifunza maishani.
 
Welcome baby if it is true that ur 18 as i read from your profile. Hapa kuwa mpole mdogo wangu wewe penda sana kusoma watu wanasema nini utajifunza zaidi, usipende kuandika andika unarudia unayojua ila ukisoma vya wenzio unaweza ukapata mawili matatu mapya ya kujifunza maishani.
OK Mariana, nmekupataa
 
Karibu sana,, kwa ushauri, maombezi, au msaada Wa Kimungu utaniuliza. Mungu akubariki, but are u she or he???????
 
Back
Top Bottom