Hivi ni vigezo gani wanaozingatia kampuni ya jamiiforum ya kumfanya member awe Moderator?[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji468] [emoji468] [emoji468] [emoji468] [emoji468] [emoji468] [emoji468]
Maana yake ni Alasiri au jioni ( pia huandikwa P.M. au p.m. ) ni kifupi cha kilatino kwaajili ya ''Post Meridiem'' , maana yake " baada ya saa sita mchana " katika masaa 12 ya saa.Eti maana ya PM ni nini?
welcomeNaitwa jonax a.k.a Kikofia. Picha yangu hiyo[emoji116] View attachment 398750natumaini nitapata mapokezi mema, kama mlivyompokea member mpya.[emoji116]
Liknk: https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/17591462
ASANTEEEENI[emoji120]
Pm ni private messege,ukitaka kutuma gonga jina la mtu zitakuja taarifa zake pale kwenye messege gonga utamwandikia ujumbe ambao atasoma yy mwenyeweEti maana ya PM ni nini?
Nmekupata...Maana yake ni Alasiri au jioni ( pia huandikwa P.M. au p.m. ) ni kifupi cha kilatino kwaajili ya ''Post Meridiem'' , maana yake " baada ya saa sita mchana " katika masaa 12 ya saa.
Una swali lingine??
Watag mods waje wajibuHivi ni vigezo gani wanaozingatia kampuni ya jamiiforum ya kumfanya member awe Moderator?
Karibu sana jfNmekupata...
Nashukuru kwa ufafanuzi wako
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Nashukuru kwa mapokezi mazuri
Andika alama @ kisha bila kuacha nafasi andika jina la mhusikaKu-tag ndo nini?
Je nitatumia njia gani ili niweze kuwa-tag?