Am new member(utambulisho)

Weee, embu nitokeee hapa... usije ukanipeperushia ndege wangu.
Maana kule Kf nmekosa mchuchu hvyo nmeona nije huku kutafuta kwa njia nyingine alaf ww unataka kunipeperushia ndege wangu
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
Hahahahahah...... Haya
 
Basi kama umeshindwa, utabidi usubiri mpaka pale mimi nitakapopandishwa cheo na kuwa moderator,
Nitapandishwa ijumaa kwenye kikao cha wajumbe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji3] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji3]
 
Mmmmmmh, hakuna hicho cheo humu
Hichi cheo nmepewa jana kwenye kikao cha kamati kuu.
hvyo acha ubishi uchwarer
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Kule wanajua mm kuwa mm nnatabia mbaya ndo mana kila demu ananikataa.
Hvyo chunga ulimi wako my friend usije ukanipeperushia
[emoji55] [emoji55] [emoji55] [emoji55] [emoji55] [emoji55] [emoji55] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Test zari ucheki[emoji49] [emoji49] [emoji49] [emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nakuja kukuchapia kule kule Kf ili nisikuaibishe kwa watu wengine
 
Shiiiiiiiiiiii, vungaaaaaaaacha nijinasibu hapa, huenda nkaopoa mchuchu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…