Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Sheikh Yule Yule Kabadiri Rangi Ya Kanzu Tu[emoji23]Mbona yupo kwa I'd zake nyingine [emoji23][emoji23]
Subiri akireply mahali nitakutag., Ila sikuizi anajifanya mwanaume sio mdada TenaπNaomba post yake ya hivi karibuni nikamsome nicheke
Kumbe mnajuana na multiple ids
Yaaniππ, aliona watu wameanza kumpuuza kaamua kuiweka kapuni kwanzaSheikh Yule Yule Kabadiri Rangi Ya Kanzu Tu[emoji23],
[emoji23]Yaani[emoji2][emoji23], aliona watu wameanza kumpuuza kaamua kuiweka kapuni kwanza
Goli ndo nini duka au?
Hivyo viatu navipenda sana ndo maana nikaweka avatari yangu.
Hapana mkuuYes...duka, fremu, genge, kibanda n.k ofisi za namna hii kitaa tunaita goli
Nilijua una goli la raba mtumba, nilitaka nikucheck chap...
I have a collection ya hizo makitu Vans, St. Johns, Nike, Polo, Fred Perry n.k...
Hapana mkuu
Mwongozo wa kwanza na wa mwisho.Am new member mekua nkipitia nakala mbali mbali umu kujifunza now nimeamua kujiunga kabisa naomben mwongozo
Bismillah m-bebez.Samaleko πββοΈ
Mgeni apewe uji usiokuwa na sukari, tuone uvumilivu wake.
Parachichi π nina uhakika hujali gusa leoBismillah m-bebez.
Unatunyima nini dominika ya leo?
Asante mkuu....Shoe size yako?
Samaleko πββοΈ
Mgeni apewe uji usiokuwa na sukari, tuone uvumilivu wake.
Mgeni asipewe ABCWewe ngoja tukufukuze huku, utatukimbizia wageni π
*Humu sisi wote ni wasomi.Am new member mekua nkipitia nakala mbali mbali umu kujifunza now nimeamua kujiunga kabisa naomben msingi so
Aisee wewe kha!πππParachichi π nina uhakika hujali gusa leo
Kesho uje kuchagua sokoni mapema tu ung'aeHivyo viatu navipenda sana ndo maana nikaweka avatari yangu.