Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kama hivyo nitakua nazo rangi mbilimbili cz rangi zote ninazo๐Kesho uje kuchagua sokoni mapema tu ung'ae
Ukutane na mdada mweupe flan avae kama hzo nyeusi kwenye avatar yako, surual (awe na ta-call kiasi) na vest kama zle za NBA aaaarrgh......ogopaKama hivyo nitakua nazo rangi mbilimbili cz rangi zote ninazo๐
Kaandika jina MR au ndio watu hawaeleweki siku hizi. ๐๐ Unakuta mtu MR ila ๐๐๐Jinsia yako tafadhali ili nijue namna sahihi ya kudeal na ww
KwannNaona umeamua kunitusi๐
Humu wa kike anakua wa kiume dkk yeyote na kiume anakua wa kike mda wowote! Kikubwa athibitishe mwenyw nsije nkajibamiza pmKaandika jina MR au ndio watu hawaeleweki siku hizi. ๐๐ Unakuta mtu MR ila ๐๐๐
Acha tu kulikuwa mdada rafiki yangu ndo pigo zake, nlikuwa nacheza nae pool table weekend ndo mitoko yakeUmempendelea mdada mweupe mwenye mzigo wa mbolea..
Hv unaweza vaa hzo na sketi๐Hapo napendelea hizo rangi ya maziwa ni qali kinoma
Mimi sijawahi kuvaa hizo na sketi japo zinavaliwa pia na sketi na mtu anatoka chicha!Acha tu kulikuwa mdada rafiki yangu ndo pigo zake, nlikuwa nacheza nae pool table weekend ndo mitoko yake
Hv unaweza vaa hzo na sketi๐
Ila wewe ๐๐Hv unaweza vaa hzo na sketi๐
Mwongozo wa kwanza andika kiswahili usilete kiingereza cha kuunganunga.
Muongozo wa pili usiwe chawa wa ccm .
Muongozo wa tatu tunasema nimekuwa nikipitia sio mekua nkipitia ukiandika hivyo unakua huna tofauti na MZURI SANA ukijipekecha kwa kauli hizo utapakatwa na UMUGHAKA
Muongozo wa nne kuja jamaa anaitwa GENTAMYCINE huyu usimvuruge wala usilete ujuaji
Muongozo wa tano jitahidi kutoa likes kama raraa reree au Leejay49
Msuya mtu atatoka kama mwanafunzi ๐๐Ila wewe ๐๐
Hatari sanaMsuya mtu atatoka kama mwanafunzi ๐๐
JaribuHatari sana
Sema sijawahi kuona mtu ametupia hiyo na sketi.
Ntakupambanisha nae lile pambano lakoMkuu unataka jamaa atoke nduki aichukie JF,siyo kwa Mkwara huu ๐คฃ๐คฃ
Mkuu acha usije ukafanya nikaua bila kukusudia kwasababu hasira zangu zote za mateso ya Samia na Genge lake zitaishia kwake!Ntakupambanisha nae lile pambano lako
Muguu uwe wa biaUkutane na mdada mweupe flan avae kama hzo nyeusi kwenye avatar yako, surual (awe na ta-call kiasi) na vest kama zle za NBA aaaarrgh......ogopa
Asiwe amesuka, azipunguze tu Kwa huku pembeniMuguu uwe wa bia
Kuna siku utaniletea msala mjinga wewe๐mcheki Lloyd Munroe , engineer wanyuchiIlala na Monduli