Am new member

Kaandika jina MR au ndio watu hawaeleweki siku hizi. ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Unakuta mtu MR ila ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Humu wa kike anakua wa kiume dkk yeyote na kiume anakua wa kike mda wowote! Kikubwa athibitishe mwenyw nsije nkajibamiza pm
 
Acha tu kulikuwa mdada rafiki yangu ndo pigo zake, nlikuwa nacheza nae pool table weekend ndo mitoko yake

Hv unaweza vaa hzo na sketi๐Ÿ˜‚
Mimi sijawahi kuvaa hizo na sketi japo zinavaliwa pia na sketi na mtu anatoka chicha!

Kuna zile min skirt tamu zile, skirt ndefu pia zinazoshika hips๐Ÿ˜‚
 

Mkuu unataka jamaa atoke nduki aichukie JF,siyo kwa Mkwara huu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ