Kazi ya moyo ni kusukuma damu Kupenda kiherehere chako tu
haha,Unanipeperushia njiwa wangu atoto kwanini lakini?
Eti eehh!! Basi kumbe ndio maana!!
Simpeperushi, tatizo amezubaa mpaka unataka kumkimbia, tell him to man up then he ll be able to handle you, lasivyo nitamkata makofi next time nikimuona, mambo gani haya anataka asababishe mrembo akimbie wakati familia inamuhitaji!!!
Teh teh teh teh!
Nipo kwenye mazoezi ya kupiga na kuuwa. Sasa wewe endelea
Kuua mende? Aisee kazana.
Mapenzi hayaingiliwi...onyo la mwisho.
Hahahaaaa!! Umeyaingilia mwenyewe alafu unatafuta mchawi!!! Kalale ukue dogo.
Afu kwani nani amewaambia muwaabudu wanaume mbona mnaexaggurate vitu??.nyinyi mmeambiwa mtii..au kutii ndo kuabudu mtu? Kwani we unavyowatii wazazi wako ni kwamba unamwabudu?..
Halafu wewe!!! Ntapiga simu chini kwa hasira...ohoooo!! Hunijui eeh!
Hivi simu hujaipiga tu? Nasubiri mrejesho