Mie tatizo sio kusamehe maana ukinitenda hata siagi na nasahau harakaaa namove on, mimi tatizo langu ni kumsahau nilompenda haswaaaaa alafu hayupo tena duniani.
Acha dhambi Atoto. Humjui Black Mamba?? acha hizo bana.
Ni mkali. Anachezea timu nayoipenda. Halafu he has a super cocky attitude, but cool like a certain somebody.
Oliver Willfred
Ukitaka uzi wako usiingiliwe na waleta kejeli uandike kwa kizungu tu, kwishaaA
Hata simjui mwenzangu, mie mpira naangaliaga kwa ajali tu, we unapenda timu gani? Hapana bwana hajanifikia, he might be cool ila hanifikii hata nusu.
Hahahaaaaa! Hivi kumbe hiyo ndio dawa! Paulo Sergio De Souz nitakuwa nakutumia unaniandikia kiinglishi then napost, ila sasa sijui wewe ndio utajibu watu, maana kuna watu wana vingreza humu kama ugomvi!!!
Hahaha. Huyo ni kwenye kikapu. Hebu nitumie picha zako niwe nazitumia kama kweli uko that cool.
QUOTE]
Mmmh si utakimbiza watu kwenye jukwaa, am cool ila picha sio cool🏃🏃🏃
Ukitaka uzi wako usiingiliwe na waleta kejeli uandike kwa kizungu tu, kwishaaA
Mmmh si utakimbiza watu kwenye jukwaa, am cool ila picha sio cool🏃🏃🏃
Ah wapi! Wakati tuliambiwa hapa atoto kisu balaa. Tuma kule, mi ndio niwe judge.
Kisu tena!! Mbona hiyo sifa kama haijakaa sawa!! Kwahiyo mie nakata na kuchinja tu!!
Maana yake we ni mkali. Acha hizo basi.
Ah wapi! Wakati tuliambiwa hapa atoto kisu balaa. Tuma kule, mi ndio niwe judge.
masikio yamenisimama....!
Kama nini?