Jamani mnisaidie hivi hapo ndo amesema nini?
Mwenzenu sijaelewa kabisa na ninapenda kuelewa mbona wengi mmechainga inamana mmeelewa, plz
Lol please elaborate.
Jamani Tanzania sahivi kuna operation mwanamke kazi kwa mume dyudyu tu. Sasa tukisikia watu wanaongea maneno hii.... Kwanza msichana wa shule tu hapaswi kusikia haya maneno.
Usiposamehe wote waliokuuumiza huwez kumpa mapenzi kamili huyo uliye naye. Mana roho yako itasita kila mara
You should not be getting an education because of a man, get it for urself. Umeshawahi jiuliza kwanini wababa watu wazima wanazaa na housegirl?
We dont care about your education and money....just love us regardless. However if you can fend for yourself it is a bonus. Ila wanaume wengi hawajiamini kwa wanawake independent because we want to be the ones providing.
Good evening,
Am in my late 20s about completing my MMED. Ever since I got out of my first relationship with my first and d only man I have ever loved I have not been able to keep other men coming my way.
Am not really a bad person, am not even materialistic because even as an undergraduate I was working. No man I have ever dated that doesn t not wish to settle down with me but one thing will lead to another and there will be change in plan.
In fact am losing hope of ever getting married may be I should just get pregnant for my first love and be a single mother. Right now am single and I have been for more than a year. Please do u have any advice for me?
Thanks
Kwahiyo wasichana wasisome ili wazae na waume za watu au.....kutoa mfano wa baba Kuzaa na housegirl is very bogus.
Mimi sijui umezungukwa na wanaume wa aina gani lakini naowajua hawataki mwanamke dependent. Of course these are not the typical narcissistic, inferiority complexed Tanzanian men.
Kwahiyo wasichana wasisome ili wazae na waume za watu au.....kutoa mfano wa baba Kuzaa na housegirl is very bogus.
Mimi sijui umezungukwa na wanaume wa aina gani lakini naowajua hawataki mwanamke dependent. Of course these are not the typical narcissistic, inferiority complexed Tanzanian men.
if u really serious about wanting to be a wife just let me know...am single just in case u wondering
Wanawake hatujaumbwa kupenda tumeumbwa kuaccept love.If you can not love back ni shedaa.Hujajiweka katika mazingira ya kupendeka unajipenda mwenyewe.Ushauri wangu kwako na kwa wanawake wengine please mpende mwanaume anaekupenda sana.Unaempenda wewe atakutesa coz mwanaume akikupenda utamshukuru utamsifia utamjali na kumheshimu.If you are too independent utataka wewe ndo usifiwe.Mwanamke anasifiwa tabia njema na heshima ukijiheshimu hata ukiwa na 40 years utaolewa tuu.Cha msingi wanawake tuache kuhangaikia wanaume tunaoona tunawapenda wakati hao hawatujali tuwasikilize wanaotupenda ndoa zote zitakuwa na amani.Nimeshuhudia mwanamke anahangaika asipopendwa kule anakopendwa anachuna mwisho wa siku anakosa kote.
EBO!Mbona umepanic.
Na wababa kuzaaa na housegirl ni very good exmple mamaaa tofauti kati ya mwanamke aliyesoma yuko busy na kazi na careeer na mwanamke anay tke care of the family home na mahitaji ya familia...
mnaambiwa hwataki depent women co they want to hit n run..
.wazeee wetu wa zamani ndoa zinadumu miaka 50 mwanamke housewife. ni mfano tu. ila kwa sasa maisha magumu kufanya hivyo.
EBO!
Kwahiyo hao maHousegirl ndo wanakujaga kuolewa na hao wababa au wanabaki kuwa sex objects tu! Pls do not repeat this bogus argument.
Eeish. Tafadhali, una kazi ?
Kumbe unaelewa kwanini wanaume wa siku hizi wanataka independent women. We una hela gani ya kumfanya mwanamke housewife. Mke wa mengi mwenyewe anapiga kazi.
Achaneni na agenda za u housewife. This is a capitalist world for heavens' sake
Wasichana/wanawake bado Wana mentality kuwa shule ikimshinda anaenda kuolewa. Solution ni kuwafwata huko huko shule kuwaambia hamna atakayeoa mke ambaye si msomi. Kama hiyo inamaanisha wanasoma kwa ajili ya wanaume so be it.
EBO!
Kwahiyo hao maHousegirl ndo wanakujaga kuolewa na hao wababa au wanabaki kuwa sex objects tu! Pls do not repeat this bogus argument.
Eeish. Tafadhali, una kazi ?
Kumbe unaelewa kwanini wanaume wa siku hizi wanataka independent women. We una hela gani ya kumfanya mwanamke housewife. Mke wa mengi mwenyewe anapiga kazi.
Achaneni na agenda za u housewife. This is a capitalist world for heavens' sake
Wasichana/wanawake bado Wana mentality kuwa shule ikimshinda anaenda kuolewa. Solution ni kuwafwata huko huko shule kuwaambia hamna atakayeoa mke ambaye si msomi. Kama hiyo inamaanisha wanasoma kwa ajili ya wanaume so be it.
Unaonekana haujui nini mapenzi na hujui wanaume wanapenda nini.... unaweza ukawa housegirl wa kawaia hujasoma hata. atakusomesha ili uweze kumudu maisha au muendani but alivyokupenda hakujali kuhusu kisomo chako...Nilichomaanisha ni hiki. Nina amini wewe upo singo au kama upo kwenye mahusiano hayana furaha angalia hiii