Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Jamani mnisaidie hivi hapo ndo amesema nini?
Mwenzenu sijaelewa kabisa na ninapenda kuelewa mbona wengi mmechainga inamana mmeelewa, plz
Mimi nakutafsilia kwa kifupi tu,
Anasema hivi, watu watoroke kutoka walipo waende UKAWA.(TCRA natania msije nifunga buure kwa habari ya uongo)