Am Ready..... Kasie is....

Am Ready..... Kasie is....

Bibi kamkumbuka babu [emoji8][emoji8][emoji8]

Hehehehehehee na babu kammiss bibi....

Basi bibi na babu wakikutana wanaanza kugonga mikongojo yao halafu wanabadilishana ugoro halafu wanapeana busu la kizee.

Kama hulijui hili busu nitafute kwa wakati wako ntakuonesha hehehehehee. Ufanye haraka kabla wengine hawajaona.
 
Holla people....

This is for Kash Kabush Dadiiiiii. ....


Am ready, you know am ready to love you... to love you, forever.... hey my lover man..... come and love me forever more.....



This is an endless love yaani ni mahaba milele.

Kasie Mahaba.
 
Hehehehehehee na babu kammiss bibi....

Basi bibi na babu wakikutana wanaanza kugonga mikongojo yao halafu wanabadilishana ugoro halafu wanapeana busu la kizee.

Kama hulijui hili busu nitafute kwa wakati wako ntakuonesha hehehehehee. Ufanye haraka kabla wengine hawajaona.
 
Hii ulimuandikia na I tena,wanawake mnapitia mb* nyingi sana. nakupenda hvyohvyo una experience
 
Back
Top Bottom