aisee.Huna vigezo?
wew miss red unatafuta nini huku?Huna vigezo?
[emoji38] [emoji38]aisee.
Naona unanitafuta kila konawew miss red unatafuta nini huku?
Mfuate pm tuHuna vigezo?
pole..utapata chaguo la moyo wako.Iam Tanzaniam male with 30 years, am here looking for a soul mate, a girl with matured age na anayejua what is life, ata hasipokuwa na kazi ili mradi awe serious naimani tukiwa wawili maisha yataenda. Mie ni mrefu maji ya kunde, tafadhali sipo kwa ajili ya kutafuta msichana anayejiuza bali wa kuishi nae kama ikimpendeza Mungu, kama unakuja kwa nia tofauti naomba usisumbue muda wako
Unatafuta nini huku mbitiyaza?upweke ni kitu mby sana... utampata..
ameshamfuataMfuate pm tu
uje na thread ukishatendwaNaona unanitafuta kila kona
Unatafuta nini huku mbitiyaza?
Alafu we nakushobokea kila siku nashangaa hutangazi ndoa si bora niende kwa mr loneruje na thread ukishatendwa
Mie nimekufata wewe maana nilikuwa sijakuelewa unamtafuta nani [emoji23][emoji23][emoji23]hahahaha nimeangua kicheko kila mtu ananishangaa1 hahahahaha we Ney we si mke wa mtu na ww huku unatafuta nn! hehehe hebu waachie wenzako we pamban na hali zako! ...UMENICHEKSHA SANA SANA!
mie hata sijui natafyuta nn..labda na ww nikuhoj unatafuta nn mwanamke mwnzangu
Mie nimekufata wewe maana nilikuwa sijakuelewa unamtafuta nani [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi kama vipi tuondoke zetu au wewe bado waosha macho kidogo nikuache? [emoji6]
Ahahahaaaaaa uwiii embu tuondoke zetu siye.Hahaha turud kwetu mwaya... tuendelee kupauka tu lol!..
nasubiri ageuke...
nasubiria wa 35-.. nijilipuege mie kwann nn bana...tired maa
Siku ile aliyetoa vigezo mkadai aumbe wa kwake tu maana ni vigezo rukuki! Leo mnapewa nafasi ya bure mnajishebedua kuuliza vigezo! Wanawake mtamaliza makanisa kuombewa lakini gonjwa liko pale pale!Huna vigezo?