Am soooo tired of being lonely


Mama Tuli ninachosema ndicho,ndiyo maana nilikuwa natatizika! Sijui kuwa muonekano wangu ndo unaoleta conflict au ni nini ukweli,wa utani wapo lkn rarely inabidi pia ni improve communication yangu kama wengi walivyonishauri
 
Asprin babu yetu,umenifurahisha sana yani nasema asante mno!umeniongezea nguvu kwa namna ambayo huwezi jua!shukrani kaka
Ntafurahi kama ntakuwa nimekuongezea nguvu za kike.
 
Nimefuatilia baadhi ya jumbe zako katika hii thread ukiondoa na uzuri uliojaliwa (kama ulivyotuambia) unaonekana pia ni mstaarabu na kichwani pia unazo za kutosha tu. Hivyo muombe Mungu ili akutimizie ukitakacho na naamini kabisa ukiongeza maombi basi utafanikiwa. Kila la heri.
 

asante sana BAK,umenipa compliment,ushauri,na umenitakia kheri.Naamini Mungu atafanya na pia nimejifunza vitu vingi hapa,kuna skills za attraction nilihitaji kuziskia toka kwa EMT,sijui waweza nipa some tips mpendwa?
 
asante sana RR nitazingatia sana hasa hapo kny kujua zaidi khs mahusiano,kiuhalisia kutokufikiri ni ngumu wakati mwingine maana kuna muda unaona kuwa unahitaji mwenzio,asante kwa ushauri mzuri
Dada, pole sana. Nikwambie tu hivi, mimi nikishaona mtu anjisifia ati yeye mrembo,najua tayari anamatatizo kichwani.na majuvuno yanakuwa ndo nyumbani mwake. Usipojishusha utaishiwa kuchezewa. Kuolewa/kupata mwanaume wa maana kunaendana na urembo?
 
Dada, pole sana. Nikwambie tu hivi, mimi nikishaona mtu anjisifia ati yeye mrembo,najua tayari anamatatizo kichwani.na majuvuno yanakuwa ndo nyumbani mwake. Usipojishusha utaishiwa kuchezewa. Kuolewa/kupata mwanaume wa maana kunaendana na urembo?

nasikitika tu kuwa hukuelewa nilichomaanisha,hivi kusema wewe ni smart ni majivuno mpendwa?think positive bwana mi sina majivuno niko simple sana ila ndiyo hivyo,ila nashkuru kuwa hii thread imenipa darasa sana.
 
Labda unajiweka kizee na kufanya watu wajue wewe tayari ni Mrs fulani. Badili mavazi uonekane kijana. Mavazi yana mchango mkubwa kwenye kuvutia. Pili usiwe too serious; uwe una smile always.

Last; piga chini huyo mwanaume ulo nae ndiye anayekuwekea kiwingu (a.k.a gundu). Unadhani nani atakutokea wakati huko kwenye relationship?

Remember to hang out na right person, si kukubali kila mtu kisa huko desperate.

RR asante kwa wema wako,,napenda vitu vingi outing ikiwa moja wapo,tatizo liko hivi,natakiwa nisahau kwa muda gani na umri nao unasogea?utata ninaoupata mbona huwa sitongozwi ni nini!
 
Mh; isije kuwa umelogwa. Nenda kwenye maombi. Kuna familia naijua wazuri kweli kweli lakini wako wadada kama watano wote kwa sasa wameshazeeka na uzuri wao. According to their mother shangazi yao amewaloga;

Siamini mambo ya uchawi lakini it will cost you nothing kumshirikisha Mungu.

Maana hainiingii akilini mdada mzuri asipate hata wa kumtongoza; ni strange kwa kweli. Wengi hawapati waoaji lakini wa kuwatongoza ni wa kumwaga.

 
Dada, pole sana. Nikwambie tu hivi, mimi nikishaona mtu anjisifia ati yeye mrembo,najua tayari anamatatizo kichwani.na majuvuno yanakuwa ndo nyumbani mwake. Usipojishusha utaishiwa kuchezewa. Kuolewa/kupata mwanaume wa maana kunaendana na urembo?

nasikitika tu kuwa hukuelewa nilichomaanisha,hivi kusema wewe ni smart ni majivuno mpendwa?think positive bwana mi sina majivuno niko simple sana ila ndiyo hivyo,ila nashkuru kuwa hii thread imenipa darasa sana.
 
nasikitika tu kuwa hukuelewa nilichomaanisha,hivi kusema wewe ni smart ni majivuno mpendwa?think positive bwana mi sina majivuno niko simple sana ila ndiyo hivyo,ila nashkuru kuwa hii thread imenipa darasa sana.

Here I come again Kibali, Mambo... Habari za tangu jana?
 

asante nyumba kubwa,umenipa maneno ya hekima ukweli najiweka kidada sana not kisista du u know what i mean,ulichodoubt niliwahi kukidoubt pia maana hata nikikueleza the real life ambayo nimekuwa kny relationship is kinda weird,namtegemea Mungu i know He shall set me free from any captivity,asante nyumba kubwa
 
nasikitika tu kuwa hukuelewa nilichomaanisha,hivi kusema wewe ni smart ni majivuno mpendwa?think positive bwana mi sina majivuno niko simple sana ila ndiyo hivyo,ila nashkuru kuwa hii thread imenipa darasa sana.

 
Last edited by a moderator:
Here I come again Kibali, Mambo... Habari za tangu jana?

Nzuri Tuko rafiki yangu,jana ulinikimbia lkn nimepata mengi sana hope umeona mwenyewe,haya niambie
 

umeona eeh? ningekuwa jogoo jogooooooooo..................................................
 
Reactions: BAK
nasikitika tu kuwa hukuelewa nilichomaanisha,hivi kusema wewe ni smart ni majivuno mpendwa?think positive bwana mi sina majivuno niko simple sana ila ndiyo hivyo,ila nashkuru kuwa hii thread imenipa darasa sana.
Sawa rafiki. saikolojia yangu ilinituma hivyo. na mara nyingi huwa ni marudio tuu. hamna mpya. Anyway, if u r a mrembo,humble,mcha Mungu,nk, basi fanya subira tu, muda kidogo Mwenyezi Mungu atakushushia wako. Ubarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…