Am sorry did u wellcomed me? why?

Am sorry did u wellcomed me? why?

Ni- helpini basi jamani! wakubwa wenzangu!!! nipo kiringeni/kijiweni boda boda! tuna bishana mpaka sasa.. hapa nimejificha naangalia kasimu kangu pembeni nione japo hoja ya nguvu, halafu naenda kumwaga sumu ila mpaka sasa ni holaaa! sina cha kusemea! iko hivi;

wengine wanasema ''hii ni past suffixes,
wengine ni ''broken'' yaani ni makosa kutumia ''did'' na ''ed''
wengine wanasema ni kiinglish cha Scotland, siyo British garammar!

wengine eti hii ni ''suprafixes ya neno ''dear'' adjective, yaani wellcome dear me?'' hili neno ni sahihi?. Did you welcomed me?

Wengine wanasema 'd'' ni free Morpheme, iko sawa! kuna aina tatu yaani Unbound Morpheme na Bound Morphemes, sasa huyu ndiyo kanichanganya kabisaa!! ikabidi niwe mpole .

Nimeona ngoja nilitupie hivohvivo! nitapata kitu but still yaani niko njia panda, tunajifunza wenzenu mtuangalie kwa jicho la huruma!
Mnajifunza au mnaamua kuibadili lughacya watu mnavyotaka nyie? Mlifundishwa aje? 'Did you welcomed me? Hii imetoka wapi?
 
Mkuu nikianza kulia kwenda kushoto hilo jina lako naliona kama "Dadako Chupi"
Aaaah!

Mkuu bana yaani hapo nimelifapunguza makali manake duuu! unamjua yule Binti wa Rais mstaafu wa south Africa? Bwana MBEKI? ana itwa SITO. hapo chacha!
 
Ni- helpini basi jamani! wakubwa wenzangu!!! nipo kiringeni/kijiweni boda boda! tuna bishana mpaka sasa.. hapa nimejificha naangalia kasimu kangu pembeni nione japo hoja ya nguvu, halafu naenda kumwaga sumu ila mpaka sasa ni holaaa! sina cha kusemea! iko hivi;

wengine wanasema ''hii ni past suffixes,
wengine ni ''broken'' yaani ni makosa kutumia ''did'' na ''ed''
wengine wanasema ni kiinglish cha Scotland, siyo British garammar!

wengine eti hii ni ''suprafixes ya neno ''dear'' adjective, yaani wellcome dear me?'' hili neno ni sahihi?. Did you welcomed me?

Wengine wanasema 'd'' ni free Morpheme, iko sawa! kuna aina tatu yaani Unbound Morpheme na Bound Morphemes, sasa huyu ndiyo kanichanganya kabisaa!! ikabidi niwe mpole .

Nimeona ngoja nilitupie hivohvivo! nitapata kitu but still yaani niko njia panda, tunajifunza wenzenu mtuangalie kwa jicho la huruma!
Hapa kweli nishindwe mimi!, hivi Boda boda wale nao waona wale, baadhi yenu mna kiingereza cha hivi kweli? au wewe mwana Isimu jamii toka Mlimani unaendesha bodaboda? najua hajira hkn?
 
Ni- helpini basi jamani! wakubwa wenzangu!!! nipo kiringeni/kijiweni boda boda! tuna bishana mpaka sasa.. hapa nimejificha naangalia kasimu kangu pembeni nione japo hoja ya nguvu, halafu naenda kumwaga sumu ila mpaka sasa ni holaaa! sina cha kusemea! iko hivi;

wengine wanasema ''hii ni past suffixes,
wengine ni ''broken'' yaani ni makosa kutumia ''did'' na ''ed''
wengine wanasema ni kiinglish cha Scotland, siyo British garammar!

wengine eti hii ni ''suprafixes ya neno ''dear'' adjective, yaani wellcome dear me?'' hili neno ni sahihi?. Did you welcomed me?

Wengine wanasema 'd'' ni free Morpheme, iko sawa! kuna aina tatu yaani Unbound Morpheme na Bound Morphemes, sasa huyu ndiyo kanichanganya kabisaa!! ikabidi niwe mpole .

Nimeona ngoja nilitupie hivohvivo! nitapata kitu but still yaani niko njia panda, tunajifunza wenzenu mtuangalie kwa jicho la huruma!
Neno ''Did'' ni p/ tense ya do, neno well- ni both hyphenated prefixes na suffixes mfano; wellness, wellbeing, well-bred. well-connected nk, kwa hiyo hapa uko sawa tu. Lugha hii ilikuja na Meli hata Jiwe anaiogopa, akiisikia anatetemeka!

Stem word like ''come'' ni Bound Morpheme! navo dhani umesema, '' Samahani jamani hivi mlinikaribisha? km sivyo kwa nini? ina maana hukumbuki kama ili... ila kuna some type of errors!! sijui hapo mikono ili kuteleza au ulikuwa unaendesha pikipiki km unavosema, lkn pia ktk kuangalia Muktadha wa sentesi yenyewe haraka haraka nimekuelewa pale kwenye maelezo ya chini ''Us'' ilikuwa iwe ''Me'' au unasemaje rekebisha hapa tutitiririke zaidi!... vinginevo mlikuwa km kakikundi flani hivi!!!

Yaani mgeni unakuja kwa kasi na Uzi juu wee kijana, ungeuweka kwenye Forum ya Lugha but so long as ipo hapa yangu ni hayo! uko sawa Una kitu cha kutuambia but navo iangalia vizuri ulikuwa haujatulia, una-type tu mara hiyooo! imeenda unatamani kuivuta irudi!! hii ipo hata kwa Lugha tuloizoea!!!

Karibu sana JF, wote humu tuna uvumilivu mno! na akili nyingi mpaka zina mwagika hatuna pa kuzipeleka, Diasporas, Mawaziri, Ma-Rais, uliza chochote utajibiwa, ila uwe na heshima tu ndo mtaji wako!.

Mie naitwa Redeemer one smoke!
 
Back
Top Bottom