He just need to man up, mambo mengine sio sifa eti!!Una demu anafahamu ID yako then ukafunguka hivyo!!! Hata kwenye maisha nje ya JF watu kuna mengine unakufa nayo kwa kutoyasema.. unahitaji KP.
Amen!Idadi ya wanaume kamili inazidi pungua JF
aeiou
Nashukuru hata sikuisoma, na siwezi kuisoma.He Leo ndo nashangaa kumbe hata hujaisoma espy halaf unanilaumu!
DJ sepetu
Kabisaaa hatimaye kimetokea.
Tutakuwa watabiri wazuri sana siku za mbele[emoji28] [emoji28]
[emoji28] [emoji28]Umeonaeee. Tuendelee tu swahiba ndio tumeshaanza taratibu. Lol.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndio maana niliwahi kuuliza hivi majibu yale ya personal wanayoyatoaga watu humo kwenye interview ni ya kweli? Maana kuna vitu unasoma unajiuliza "whats the hell is this!!!"Aisee. Nishawahi waza kitu kama hicho hatimaye kimekuwa kweli.
Katika hizi interview lazima yatakuwepo kati ya haya kama sio watu kupata wapenzi wapya,kuna kuachwa, kuna kukejeliwa siku ukitibuana na mtu kwa sababu ameshakujua kwa asilimia fulani.
Pole sana Muosha Rungu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa upande mmoja hazina ubaya unachotakiwa kujua ni unazungumza nini, wapi na nani unayezungumza naye.
Ukishindwa Kujua hayo utajikuta unabwabwaja hovyo tu. Mi[emoji40] [emoji40] [emoji40]
Tatizo watu hawajui wanaongea nini, wapi na wanaongea na nani.Ndio maana niliwahi kuuliza hivi majibu yale ya personal wanayoyatoaga watu humo kwenye interview ni ya kweli? Maana kuna vitu unasoma unajiuliza "whats the hell is this!!!"
mbona unatoa siri za ndani njeBora iwe hivyo maana hata pm wala WhatsApp hajibu
DJ sepetu
Imebidi nicheke tu!! Hivi huoni hata kuanzisha uzi huu ni tatizo!!Basi nibembelezee tu
Kosa kurudia kosa
DJ sepetu
Usijali yoteeeee nitakujibu[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kesho zamu yako. Jiandae swahiba nitakuhoji mwenyewe ntakupiga maswali matata sana yaani ntataka nijue zile biashara zako na pia usisahau account yako inachezea kiasi gani kwa Tshs. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ndio hapo dada ake mi pia huwa nashangaa sana.Ndio maana niliwahi kuuliza hivi majibu yale ya personal wanayoyatoaga watu humo kwenye interview ni ya kweli? Maana kuna vitu unasoma unajiuliza "whats the hell is this!!!"
It's real Na tulikuwa tumefikia pazuri uzur huyo hapo kaja muulizeImebidi nicheke tu!! Hivi huoni hata kuanzisha uzi huu ni tatizo!!
I hope mahusiano yenu ni ya kijf jf, ila kama ni real, basi kweli nimeamini kila mtu na mtuwe.
Kwaheri.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji25] [emoji25] [emoji25] acha tuHahaha
Hata miee ningekimbia mpaka soksi iache kiatuuu.... Haha moneytalk sipati picha kijasho kilivyokuwa chakutokaaa....
Muosha rungu hivi si ulisema uko na mwarabu tena anakupa mtandao pendwa...... Mbavu zangu mieee.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Ujue bado kidogo nipaliwe kwa kicheko. Lol.Usijali yoteeeee nitakujibu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe tena somo sina wasiwasi na wewe kama ndo ulivyonifunza sawa[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Na binadamu tulivyo wanafiki unakuta watu wanakuchota tu huku wanakusifia ili uendelee kutiririka. Aiseeeh!!! Kuna vitu sio vya kuweka hadharani jamani.Tatizo watu hawajui wanaongea nini, wapi na wanaongea na nani.
Halafu huwa wanasikia raha kuongea personal issues hadharani vile? Au ndo tuseme na mimi nimezungumza.