Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Hahaha hao ni baba zake na wewe ukiwemo(wameoa na wana wajukuu na vitukuu)
stellar Edison usikae ukamsikiliza Numbisa, kuna fursa anataka kukubania, ukisha kaa wiki kadhaa utakuja kuniambia kama nilikuwa nakudanganya au nasema ukweli.
Hebu anza kumtafuta mkaguzi mkuu wa wageni Babu Asprin.