LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
ukiona manyoya ujue ....kaliwa!pole sana mkuu ndio wanawake wa kizazi cha JK
Sio kweli!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiona manyoya ujue ....kaliwa!pole sana mkuu ndio wanawake wa kizazi cha JK
Ewaaaa.... now you are talking.
Sasa waweza kuwaambia vijana wenzako maamuzi ya kiume ni yapi?
Asanteni wadau wote wa MMU
Asprin,Am officially closing the chapter.Hawezi kunichezea akili yangu nina mambo mengi ya kufanya.To Hell,Am moving On.Akirudi atapata wakati mgumu sana hadi aeleweke.Nina uhakika alidanganyika tu huko.Atarudi.And i have officially closed the chapter,hata mods wanaweza futa thread
mkuu,inaniuma sana manake nimegharamika sana kwake
dont start to assume things, mwache arudi akupe maelezo. Labda kuna yalomsibu sometimes you need lone time.
Wadau,
Leo yamenikuta.My IreneRose,Nilishwahi kupost hii thread kumuhusu yeye.
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/252254-she-makes-me-cry.html#post3720071
Nampenda sana huyu binti sana tu.Usiku huu sijui hata yuko wapi.Alikuja jana saa 10 nyumbani kwangu na rafiki zake na dada yake,tukacheza mpira baadaye tukaishia kwenye cards then dinner,akaondoka kwenye saa mbili usiku kwenda kwao.Alivofika tu kwao ankanipigia simu kwamba amesahau chip ya Simu ya Vodacom,ikabidi arudi haraka akaichukua but nilimuona hayuko sawa.Nikamuuliza kuna ulazima gan wa kufuata chip mda huo akanijibu kna rafiki yake alitaka kuongea nae.Nikampeleka hadi kwao ila sikushuhudia hadi aingie ndani.
Saa 3 na nusu nikampigia simu,hakupokea na simu ikawa inakatwa.nikapiga kama mara 7 hivi simu inakatwa.Nikampigia dada yake akaniambia hayupo nyumbani na wao wanajua amekuja kwangu,then nikamwambia kwamba siko nae.akampigia hakupokea simu yake pia.Ikafika saa tano na nusu wazazi wake wanampigia hapokei.Nikampigia kaka yake amtafute na simu yake pia haikupokelewa.
Nimezunguka kwa ndugu na rafiki zake karibu wote hawajui aliko,wazazi wamepiga simu kote hawajui aliko.Saa sita usiku dada yake akafanikiwa kuongea nae,Jibu alilompa ni kwamba yuko sehemu salama wasimtafute,ila hakusema ni wapi.Simu yangu haipokelewi kabisa,Sms kama 12 hivi zote hazijibiwi.Saa saba usiku simu ikazimwa.
Nimeshindwa hata kupata lepe la Usingizi,Sijui yuko wapi mpenzi wangu.
Wadau;
1.Hivi sio dalili za kuwa betrayed kweli?
2.Kinachonishangaza hajawahi kulala nje pasipo wazazi kujua yuko wapi,what is this guys.Am stranded sijui nifanyeje,Au watu wameshanichukulia nini
3.Kwa nini wanawake hampendeki bana............??? Sorry inaweza kuwa kwa huyu wa kwangu maybe