Am totally Finished

Mi nadhani msaidiane kushauriana na Billie mnaweza mkaelewa somo.

Ngoja aje.

Kongosho haya mambo acha tu na yanasumbua sana pale hali inakuwa haieleweki bora uwe umefuma tukio kabisa unaweza ukaamua decision nzuri lakini situation za mauzauza kama hizi zinapasua kichwa haswa ukifanyiwa na mtu unaempenda kwa sana


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…