Ama hakika Simba Sports Club ya Msimu wa 2020 / 2021 itakuwa ni ile ya Tema Mate Kushoto kisha Unafukia Kulia na Raha tupu tu!

Mikia hawajui usajili wao ni kudandia timu ya yanga wakimpata mchezaji anzia kwa medie kagere na sasa wanawatamani kina morison.hovyoo
 
Huu uandishi kama I'd moja maarufu
Jina linafanana na bidhaa za Pharmacy [emoji3]

Inabidi tutafute mbinu za kukuza soka letu ili kuongeza mvuto na Ubora wa ligi na siyo mbinu za kupata ubingwa tu.

Simba sasa ni club kubwa lakini suala la kila leo kuwazia wachezaji waliopo Yanga tu sioni kama ni zuri sana
 
Morison atachafua hali ya hewa kwa jirani,yani leo tu pekee watu wameweweseka mpaka magari yanapata pancha hovyo.
 
Mkizubaa sisi tunabeba hatuna cha kupoteza mkuu
Mikia hawajui usajili wao ni kudandia timu ya yanga wakimpata mchezaji anzia kwa medie kagere na sasa wanawatamani kina morison.hovyoo
 
Okwi bado anachezaga mpira tu?

Yeye Okwi na Gigi Buffon nani ni Mzee? Mbona hamshangai / hamuhoji kwanini Buffon na Uzee wake wote bado anacheza tu Mpira? Hopeless.
 
Yeye Okwi na Gigi Buffon nani ni Mzee? Mbona hamshangai / hamuhoji kwanini Buffon na Uzee wake wote bado anacheza tu Mpira? Hopeless.
Hopeless wewe hapo unayemfananisha mnywa ulanzi na buffon (world class)[emoji1787]
 
Mpira umeanza kuangalia lini, wale Liverpool wana Academy lakini mchezaji mzri wanamchukua. Sisi simba tunamchukua mchezaji yeyote mzr hata hawe wa Yanga, kwani umeshawahi jiuliza kua kwa nini simba hatumtaji Yierpe
 
Yaani mwendo wa kuishi kwa matumaini tuu, kweli mbumbumbu fc
 
Mpira umeanza kuangalia lini, wale Liverpool wana Academy lakini mchezaji mzri wanamchukua. Sisi simba tunamchukua mchezaji yeyote mzr hata hawe wa Yanga, kwani umeshawahi jiuliza kua kwa nini simba hatumtaji Yierpe
Umeelewa kweli maidhui ya post yangu au umetafsiri vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…