Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,352
- 2,160
Basi mkuu ndio yale yale nitakuwa nafagiaa yeye anadekiUdhaifu wako namba moja ni wewe kwenda kudeki choo na bafuni.
Ingekuwa kwako ingependeza zaidi, ila kudeki sehemu uliyopanga haipendezi kabisa.
Bora wewe ungefagia, yeye akaenda kupiga deki
Mkuu bila Shaka wewe nimwalimu, magu alishakuvuruga nawewe subiria 2020 umvuruge kwenye sanduku lakura ila mimi niacheUnaonaje ukinunua subwoofer ukawagongea taarabu ili muende sawa ukawaacha wajenzi wa jamii kupitia JF wakatuelimisha kuliko kutupeleka uswahilini kusutana?
Natamani kusikia siku moja ukiandika ukijisifu umejenga nyumba japo ndogo, una ka ist na familia ya vitoto 2 kuliko kujisifu kwa ngono.
Kula rahaaa...Basi mkuu huyu mwenzangu naona anahisia namimi kuliko ambao ishakutana nao huko nyuma kwahiyo ngoma inogire
Unatumia njia gani kujikinga na mimba zisizotarajiwa?Hahahaha akishika mimba itakuwa kama vile Wali umetiwa mchanga
Kwa hiyo unaamini za wale wengine walizaliwa nazo au zilipwaya njiani?Mmhh mkuu sidhani kama itapwaya hii kwajinsi ilivyo
Hahahaha akishika mimba itakuwa kama vile Wali umetiwa mchanga