Ama kweli adui wamwanamke, nimwanamke mwenyewe

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] Duniani kusaidiana kwenye tuta
Mkuu nielewe, kama kweli unataka namba yahuyu mchuchu wangu... Nakujibu sitaki... Nakama unanitania nakwambia sitaki utani nawewe
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nielewe, kama kweli unataka namba yahuyu mchuchu wangu... Nakujibu sitaki... Nakama unanitania nakwambia sitaki utani nawewe
 
Inaonesha unajua mipasho wambie nao wawaroge mabwana wao ili wawasaidie kaz m nachojua huwez shindana nao cha muhimu ishi maisha yako kuwa na principles zako ww kama ww
 
Nmecheka ila
daah nmecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wivy tu
L
 
Si ukawaambie huko kwani wapo huku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…