Ama kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake

Ama kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake

Pamoja na yote haya, bado nakuheshimu sana mkuu mzizi mkavu upande wa maswala ya kitabibu.
Ila kwa swala la imani tumetofautiana.
 
Pamoja na yote haya, bado nakuheshimu sana mkuu mzizi mkavu upande wa maswala ya kitabibu.
Ila kwa swala la imani tumetofautiana.
Basi tuyaache kwa sababu tusije tukagombana sitaki udharau imani za watu wawe ni Waislam au wakristo heshimu kila mwenye imani yake hata kama ana abudu sanamu ng'ombe au mnyama wowote basi muache kama alivyo angojee siku ya hukumu .Na mimi pia ninakuheshimu ila usiingilie katika imani za watu ukaziponda sitakuwa pamoja na wewe samahani kama nimekukwaza.
 
Basi tuyaache kwa sababu tusije tukagombana sitaki udharau imani za watu wawe ni Waislam au wakristo heshimu kila mwenye imani yake hata kama ana abudu sanamu ng'ombe au mnyama wowote basi muache kama alivyo angojee siku ya hukumu .Na mimi pia ninakuheshimu ila usiingilie katika imani za watu ukaziponda sitakuwa pamoja na wewe samahani kama nimekukwaza.

Mimi naheshimu watu wa imani zote mkuu!
Awe anaamini mizimu, miti, mawe, wanyama n.k mimi namheshimu.
Changamoto iko kwenu watu wa dini kuwaona watu wa imani tofauti na yako kuwa wamepotea,

Kwani wewe huwezi kuwa umepotea?
Mbona mnawadharau wahindu kuwa wanaabudu sanamu?
Hizo si dharau?
 
waache wenye imani zao waziamini na wewe usiyeamini kuwa hivyo hivyo na upotofu wako ngojea siku utakayo kufa ndipo utayaona yote uliyokuwa ukiyatenda hapa duniani utalipwa na utatamani urude duniani kumuabudu Mungu na kutubu makosa yako uliyoyafanya lakini wapi? wakati wako umeshapita utangojea hukumu yako ya kwenda motoni au kwenda peponi Mungu atakuhukumu kwa yale yote uliyo yatenda hapa duniani.Kaa na upotofu wako.
WE NADHANI KULIKO KUANZA KUMTISHA MFUNDISHE NA UMUELEKEZE
 
Back
Top Bottom