Ama kweli Ali Kiba anatisha, Kapokelewa kama Rais huko Masasi Mtwara

Ama kweli Ali Kiba anatisha, Kapokelewa kama Rais huko Masasi Mtwara

Wamakonde wamezoea kumuona kideoni ndo maana wamejitokeza wamuone live
 
hizi stori za kiba/diamond zinanikera! mmeona kule celebrity forum hakutoshi mkaona mchafue na huku..
 
Ali kiba toka aanze kudhani anaweza kumzidi au kujifananisha na diamond nimeacha kuwa shabiki wake na namuona mjinga sana. Aiwezekani mbingu na dunia zifanane

Una ushahidi kuwa anajifananisha na diamond? Lini na wapi alisema kuwa yeye anafanana na diamond? Msiwe mnakurupuka kulopoka bila uthibitisho... mashabiki mandazi wawagombanishe wewe umbebee bango kiba kuwa ndo kasema??? Vp na diamond aliyesema atamsaidia kiba hiyo kauli uliichukuliaje? Kwa taarifa yako Kiba hana tatizo lolote na Diamond na amenukuliwa sehemu mbalimbali akisema kuwa anazikubali kazi Diamond sasa kosa lake liko wapi? Nyambaffff.
 
Nimewapa taarifa tu na watu masasi yote wanamkubali sana wanamshangilia haijatokea,picha zinakuja
 
hata mm cmjui, labda ni mjumbe wa bunge maalum la katiba
 
Una ushahidi kuwa anajifananisha na diamond? Lini na wapi alisema kuwa yeye anafanana na diamond? Msiwe mnakurupuka kulopoka bila uthibitisho... mashabiki mandazi wawagombanishe wewe umbebee bango kiba kuwa ndo kasema??? Vp na diamond aliyesema atamsaidia kiba hiyo kauli uliichukuliaje? Kwa taarifa yako Kiba hana tatizo lolote na Diamond na amenukuliwa sehemu mbalimbali akisema kuwa anazikubali kazi Diamond sasa kosa lake liko wapi? Nyambaffff.

Anaropoka tu!unajua sisi mashabiki jinsi tunavowachukulia hao waburudishaji wao hawajichukilii ivo kama wana beef,mtu lazima uelewe!Ally K hajawahi kusema anashindana na Diamond sisi ndio tunawashindanisha kiushabiki wetu tu,afu hata asipompenda Ally Kiba hamjui so hampunguzii lolote ukute hajawahi hata kununua kazi ya Kiba zaidi ya kurusha kwa bluetooth
 
Back
Top Bottom