Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye njuluku hakuna vinyon go ni rahatupu mkuuKatika hali isiyo tarajiwa na wengi hatimaye Diamond platnumz amempost na kumuwish Happy B day mtoto wa kufikia mtoto wa Zari bila kinyongo kabisa!
Wanaume inabidi kuiga mfano huu na kuacha Vinyongo pamoja na Biti zote anazochimbwa na Ivan!
![]()
Katika hali isiyo tarajiwa na wengi hatimaye Diamond platnumz amempost na kumuwish Happy B day mtoto wa kufikia mtoto wa Zari bila kinyongo kabisa!
Wanaume inabidi kuiga mfano huu na kuacha Vinyongo pamoja na Biti zote anazochimbwa na Ivan!
![]()
Sijaona uzungu wowote hapo!!!!
Ninachojua, wanaume wana moyo mpana kwenye suala la watoto wa kufikia (walio kuja na Mwanamke)
Mwanamme kama hamtaki mtoto husema waziwazi kabda ya mahusiano kufikia mbali na akikubali huwa harudi tena nyuma.
Tatizo linakuwa tu pale mwanamke anapoficha kuwa anamtoto na kuja kusema wakati wamesha amua kuishi pamoja...
Huo sio uzungu, ndivyo wanaume wa ukweli walivyo...
Hiki ni kitu cha kawaida sana labda kwa vile tu ni Naseeb kafanyaMimi ningeona ajabu kama angemuwish Mume mwenza, otherwise siyo issue kwa mtoto.
Nimejikuta namkumbuka bwanyenye kuna siku kaenda kwa mchuuza mayai akatajiwa bei mbili tofauti akauliza kwanini?mchuuzi akamjibu haya mayai mengine yana bei kubwa kwa sababu ni ya kizungu bwanyenye akajibu kwa hiyo kila kitu kikubwa na kizuri ni cha kizungu?mchuuzi akajibu ndio bwanyenye akamuuliza na hilo pua lako kubwa nalo ni la kizungu?
Sasa kilichoniumiza ni nini hapo?
Nawe huna tofauti na huyo mleta mada.
Halafu nakuhakikishia akili yangu iko vizuri mno, tena maradufu kuliko yako.
Eti nimeumia....niumie kwa sababu gani hasa? Unaona maruerue wewe.
Akili zako!
Unazifahamu wewe!!! Wanao paswa kukuambia akili zako zipo sawa ni watu wanao kuzunguka sio wewe mwenyewe
Kumbuka hata kichaa hujiona MWENYE Akili
Mbona mimi nipo rombo kwenye mbege lakini sijaanzisha hii thread hii, au ulitaka kuitaja mbege tuu ili tujue unaijua, maana hii post sijaona uhusiano wake na rombo au na mbegeWe utakuwa rombo kwenye mbege ulieanzisha hii thread
Tabia za kizungu ni kutuma post kwa kutumia lugha ya kizungu, umenisoma mwana, na hiyo post diamond kaandika kizungu, usipanic mazeeekwahiyo tabia nzuri ni za wazungu tu au
Asante ripota wa Diamond JF.
Naona umekaimu nafasi ya Kifesi sawia.
Ila mwenzio alikuwa analipwa,wewe vepeee?
Kama unafanya bila malipo.....wewe ni jipu pia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Au atakuwa ni mfanyakazi hewa.
sasa nipanic kwani dai ananilisha mjini hapaTabia za kizungu ni kutuma post kwa kutumia lugha ya kizungu, umenisoma mwana, na hiyo post diamond kaandika kizungu, usipanic mazeee