Vugu-Vugu
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 1,381
- 1,600
Amani iwe nanyi nyote!
Baada ya Esther Bulaya kufunga mitaa yote pale Bunda ilikuwa ni zamu ya Esther Matiko pale Tarime,
Navutiwa sana na majina ya akina Esther tangu yule wa kwenye Biblia hadi hawa wanasiasa vinara wa Upinzani Tanzania kwa Ujasiri,Ushupavu na uimara wao
Naomba kudeclare interest Mwanangu ajae akiwa wa kike basis nitamwita Esther.
Fuatilia huu mziki hapa chini was Esther Matiko kule Tarime,
#TunatakaTumehuruyaUchaguzi
Baada ya Esther Bulaya kufunga mitaa yote pale Bunda ilikuwa ni zamu ya Esther Matiko pale Tarime,
Navutiwa sana na majina ya akina Esther tangu yule wa kwenye Biblia hadi hawa wanasiasa vinara wa Upinzani Tanzania kwa Ujasiri,Ushupavu na uimara wao
Naomba kudeclare interest Mwanangu ajae akiwa wa kike basis nitamwita Esther.
Fuatilia huu mziki hapa chini was Esther Matiko kule Tarime,
#TunatakaTumehuruyaUchaguzi