Uchaguzi 2020 Ama kweli Esther Matiko ni moto wa kuotea mbali. Aisimamisha Tarime kwa masaa watu wasema hawajawahi kuona mwanamke jasiri na shujaa kama yeye

Mbwembe zote za wanasiasa wa Tanzania fainali zake ni Octoba 2020 na ndipo tutajua pia kama Matiko aliisimamisha Tarime au la!
PUMBAVU sana wee Mama..
Unajisifia kwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa mliobaka Demokrasia??
Eti tusubiri Oktoba..??
Majizi makubwa ya kura.
 
Wewe unayeuliza wapinzani walalamika mikutano imezuiwa hii ni nini unaelewa katiba na sheria ya vyama vya siasa? kwa ufupi mikutano inayolalamikiwa ni ile inayomhusisha hata asiye mbunge kufanya,(kiongozi wa chama)hi imezuiwa kinyume na sheria,wapumbavu wanaojifanya wapo juu ya sheria wamepora haki za wengine.
 
Hawana uwezo wa kujibu hoja hofu zimewajaa
 
Mbwembe zote za wanasiasa wa Tanzania fainali zake ni Octoba 2020 na ndipo tutajua pia kama Matiko aliisimamisha Tarime au la!

Pole pole anawapoteza sana nyie Vijana wa Lumumba na kampeni yake ya Manunuzi badala ya kuwekeza kwa wapiga Kura.
Bila polisi na Tume huru CCM ni wepesi kama karatasi.

Mtategemea Vyombo vya Dola mpaka lini ili mshinde Uchaguzi..?
 
Esther Bulaya na Ester Matiko. Hawa wanawake wana mimi niwaoe wote. NAWAPENDA SANA ENYI WANWAKE WATUMISHI WA MUNGU.
 
Inaonyesha KAMA hawa rafiki zangu akina "Mura" siku hizi wamebadilika, nadhani ni kwa sababu ya vyama vingi. Sidhani kama huko nyuma walikuwa wanaruhusu mwanamke kusimama jukwaani na kuanza kuongea mbele yao. akiwa amevaa suruali. Suruali lilikuwa ni vazi rasmi la wanaume tu "Mura"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…