Ama kweli huu ni mwezi mtukufu.Miji imekuwa majiji

Ama kweli huu ni mwezi mtukufu.Miji imekuwa majiji

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Miujiza ya Allah ni mingi sana.Moja wapo ni katika huu mwezi mtukufu wa Ramadhani. Ameujaalia uwe ni ujumbe kwa kila binadamu aliye hai.Si kwa waislamu peke yao ila ni kwa watu wa dini zote.
Tangu siku ya mwanzo mwezi unapoanza masoko hujaa wanunuzi.Tulidhani kwa vile watu wanafunga basi kula kutapungua kumbe ndio huongezeka zaidi.Wafanyabiashara wa masokoni wa dini zote hufurahia sana kuingia kwa mwezi huu.
Ikifika muda wa jioni barabara zote huwa na msongamano mkubwa wa waendao kwa miguu na vyombo vya moto kila mmoja akitembea kwa ukakamavu mkubwa.Tulidhani kwa kufunga na kutokula mcha mzima wala kunywa hivyo watu wamekuwa ni dhaifu.Kumbe watu ndio wamezidi kuwa wakakamavu.
Habari kubwa iko kwenye maduka ya nguo.Wafanyabiashara wote wanajitayarisha vya kutosha kupata mauzo ambayo huenda ndio makubwa katika mwaka mzima,
Nani asiyeujua mwezi mtukufu wa Ramadhani.Siku watakapohojiwa kwanini hawakufungua lipi litakuwa jibu lao.
 
Miujiza ya Allah ni mingi sana.Moja wapo ni katika huu mwezi mtukufu wa Ramadhani. Ameujaalia uwe ni ujumbe kwa kila binadamu aliye hai.Si kwa waislamu peke yao ila ni kwa watu wa dini zote.
Tangu siku ya mwanzo mwezi unapoanza masoko hujaa wanunuzi.Tulidhani kwa vile watu wanafunga basi kula kutapungua kumbe ndio huongezeka zaidi.Wafanyabiashara wa masokoni wa dini zote hufurahia sana kuingia kwa mwezi huu.
Ikifika muda wa jioni barabara zote huwa na msongamano mkubwa wa waendao kwa miguu na vyombo vya moto kila mmoja akitembea kwa ukakamavu mkubwa.Tulidhani kwa kufunga na kutokula mcha mzima wala kunywa hivyo watu wamekuwa ni dhaifu.Kumbe watu ndio wamezidi kuwa wakakamavu.
Habari kubwa iko kwenye maduka ya nguo.Wafanyabiashara wote wanajitayarisha vya kutosha kupata mauzo ambayo huenda ndio makubwa katika mwaka mzima,
Nani asiyeujua mwezi mtukufu wa Ramadhani.Siku watakapohojiwa kwanini hawakufungua lipi litakuwa jibu lao.
Kweli sheikh,
1.pombe zinadoda kwenye mabaa
2. Machangudoa wamepungua na hata hao waliobakia wanunuzi hakuna
3. Vibaka wamepungu sana , ukiacha kandambili mlangoni unazikuta
4. Kitimoto imekuwa adimu mpaka utoe oda ya siku 7
5.Mafumanizi hamna kwa sasa

6. Kurogana na kutupiana majini nako kumepungua sana

Natamani mtukufu Ramadhani awepo mwaka mzima inshaalah
 
Kweli sheikh,
1.pombe zinadoda kwenye mabaa
2. Machangudoa wamepungua na hata hao waliobakia wanunuzi hakuna
3. Vibaka wamepungu sana , ukiacha kandambili mlangoni unazikuta
4. Kitimoto imekuwa adimu mpaka utoe oda ya siku 7
5.Mafumanizi hamna kwa sasa

Natamani mtukufu Ramadhani awepo mwaka mzima inshaalah
Kwa hiyo hii inakubaliana na maneno ya Mtume Muhammad(S.A.W),kuwa mwezi huu mashetani wa kijini,wamefungwa minyororo,waliobakia ni mashetani wa kibinadamum
 
Kweli sheikh,
1.pombe zinadoda kwenye mabaa
2. Machangudoa wamepungua na hata hao waliobakia wanunuzi hakuna
3. Vibaka wamepungu sana , ukiacha kandambili mlangoni unazikuta
4. Kitimoto imekuwa adimu mpaka utoe oda ya siku 7
5.Mafumanizi hamna kwa sasa

6. Kurogana na kutupiana majini nako kumepungua sana

Natamani mtukufu Ramadhani awepo mwaka mzima inshaalah
yapo mengine endelea kuorodhesha
 
Miujiza ya Allah ni mingi sana.Moja wapo ni katika huu mwezi mtukufu wa Ramadhani. Ameujaalia uwe ni ujumbe kwa kila binadamu aliye hai.Si kwa waislamu peke yao ila ni kwa watu wa dini zote.
Tangu siku ya mwanzo mwezi unapoanza masoko hujaa wanunuzi.Tulidhani kwa vile watu wanafunga basi kula kutapungua kumbe ndio huongezeka zaidi.Wafanyabiashara wa masokoni wa dini zote hufurahia sana kuingia kwa mwezi huu.
Ikifika muda wa jioni barabara zote huwa na msongamano mkubwa wa waendao kwa miguu na vyombo vya moto kila mmoja akitembea kwa ukakamavu mkubwa.Tulidhani kwa kufunga na kutokula mcha mzima wala kunywa hivyo watu wamekuwa ni dhaifu.Kumbe watu ndio wamezidi kuwa wakakamavu.
Habari kubwa iko kwenye maduka ya nguo.Wafanyabiashara wote wanajitayarisha vya kutosha kupata mauzo ambayo huenda ndio makubwa katika mwaka mzima,
Nani asiyeujua mwezi mtukufu wa Ramadhani.Siku watakapohojiwa kwanini hawakufungua lipi litakuwa jibu lao.
Subiri PASAKA ipite ndugu yatabaki MAKOBAZI tu huko mtaani.
 
Uko sahihi Sheikh, sisi wavaa kobazi tunakula kama viwavijeshi ndani ya huu mwezi, hovyo manunuzi lazima yaongezeke. Na wala hata hatufungi,tunabadili tu muda wa kula.
 
Kweli sheikh,
1.pombe zinadoda kwenye mabaa
2. Machangudoa wamepungua na hata hao waliobakia wanunuzi hakuna
3. Vibaka wamepungu sana , ukiacha kandambili mlangoni unazikuta
4. Kitimoto imekuwa adimu mpaka utoe oda ya siku 7
5.Mafumanizi hamna kwa sasa

6. Kurogana na kutupiana majini nako kumepungua sana

Natamani mtukufu Ramadhani awepo mwaka mzima inshaalah
Hii inafikirisha sana! Sijui kama uliloandika lina uhalisia au la.
 
Vipi mauzinde wa zenj nae atakuwa kwenye mfungo?
 
Kweli sheikh,
1.pombe zinadoda kwenye mabaa
2. Machangudoa wamepungua na hata hao waliobakia wanunuzi hakuna
3. Vibaka wamepungu sana , ukiacha kandambili mlangoni unazikuta
4. Kitimoto imekuwa adimu mpaka utoe oda ya siku 7
5.Mafumanizi hamna kwa sasa

6. Kurogana na kutupiana majini nako kumepungua sana

Natamani mtukufu Ramadhani awepo mwaka mzima inshaalah
Inaonyesha dhahiri wenye matendo hayo wengi ni waislamu. Hadi kitimoto dah noma kweli.
 
Kweli sheikh,
1.pombe zinadoda kwenye mabaa
2. Machangudoa wamepungua na hata hao waliobakia wanunuzi hakuna
3. Vibaka wamepungu sana , ukiacha kandambili mlangoni unazikuta
4. Kitimoto imekuwa adimu mpaka utoe oda ya siku 7
5.Mafumanizi hamna kwa sasa

6. Kurogana na kutupiana majini nako kumepungua sana

Natamani mtukufu Ramadhani awepo mwaka mzima inshaalah
Mwezi Mtukutu huo.
 
Kweli sheikh,
1.pombe zinadoda kwenye mabaa
2. Machangudoa wamepungua na hata hao waliobakia wanunuzi hakuna
3. Vibaka wamepungu sana , ukiacha kandambili mlangoni unazikuta
4. Kitimoto imekuwa adimu mpaka utoe oda ya siku 7
5.Mafumanizi hamna kwa sasa

6. Kurogana na kutupiana majini nako kumepungua sana

Natamani mtukufu Ramadhani awepo mwaka mzima inshaalah

Hiyo reference ni ya mji gani?
Ni vizuri kwenda kwa data na sio kutoka usingizini na kutype kwa kujifurahisha
 
sokoni furahaa yao ifikapo siku za vyakula vitamu.wauza nguo furahaa yao siku za sikuu.
bahari kilio chake siku za sikuu maana itakojolewa vya kutosha.
 
Shida ni kwamba tumebadili Muda wa kula alafu tunaita tumefunga.

Mfano una mtoto aliyekuwa anaenda shule saa Moja ASUBUHI Hadi saa kumi na moja jioni.

Eti akianza kwenda shule usiku saa Moja Hadi kumi na moja ndio tuseme amefunga shule!!!????..

MNAJIDANGANYA NDUGU ZANGU.
KUNA KUFUNGA NA KUSHINDWA NA NJAA.
 
Niaminishe hivyo kwanini ni muhimu mtu kuwa mwislam? Si naweza kuwa mtu mzuri na kwenda peponi bila kuwa muislam?
Sio rahisi.Kila kitu kinakwenda na vigezo.Mungu ameweka vigezo vya watakaoingia peponi.
 
Back
Top Bottom