CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Kuna tofauti mkuu
Au kuna pepo ya waislama na pepo ya wakristo?