Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu waliamini Samba itasasambua?Mikeka ya watu ilichanika vibaya sana
Vibaya mno.Mikeka ya watu ilichanika vibaya sana
Acha tu mkuu, najua muhindi alichekelea mno kwani wengi walijua Liver anashinda
Kina kula meza moja na wahuni Wa king power.Kile kikosi Cha flamingo kikienda pale EPL akikosi tatu Bora kwenye msimamo wa ligi.
Kwani alishindwa?Acha tu mkuu, najua muhindi alichekelea mno kwani wengi walijua Liver anashinda
Jamaa yupo gizani BadoKwani alishindwa?
Muhindi ushindi ni dakika 90 hizo nyingine hazitambui.Kwani alishindwa?
Hata aliyewafunga ni wa hukohuko Brazil,ila yupo Liverpool kikazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu haohao brazil wakatia aibu kwa mjeremaniDah kwa mechi ile ya jana ya FIFA CLUB WORLD CUP 2019, imeonesha kuwa brazil (america ya kusini) ndiyo kitovu , cha mpira wa kandanda aseee , dah jana nilicheki mpaka mwisho nkajisemea , ULAYA MPIRA WAO NI WA PESA TU , KWENDA KUCHUMA HELA .
Kweli kabisa! Tatizo huko S.America hakuna pesa nyingi kama Ulaya.Soka lipo South america,soka la europe limekaa kibiashara zaidi.
Mara ya mwisho nchi ya South America kuchukua kombe la dunia ni lini?Soka lipo South america,soka la europe limekaa kibiashara zaidi.
Acheni undezi, Europe ndio wanaoongoza kwa soka, kwa kila kitu...Kombe la Dunia Europe wanelichukua back to back tangia mwaka 2002, wamelishinda hadi huko kwao Brazil kwa kipigo cha mbwa mwiziKweli kabisa! Tatizo huko S.America hakuna pesa nyingi kama Ulaya.
Kwa nini alishindwa kuisadia Brazili mwaka jana hata ifike angalau nusu fainali tu ya kombe la Dunia? au kuikoa na aibu ya kipigo cha 7-1 mwaka 2014?Hata aliyewafunga ni wa hukohuko Brazil,ila yupo Liverpool kikazi
Sent using Jamii Forums mobile app